KALINZI NYUMBANI
JF-Expert Member
- Jan 7, 2015
- 1,797
- 1,594
- Thread starter
-
- #101
Nimekusoma kiongozi.Nikweli,..ndo umwambie huyu jamaa aelewe.dhahab si lelemama,na inapatkana porin,so ajiandae hyo m5 akiipata mwnye uzoef itampa faida,ila akiipata mtu ambae ndo anaanza hana hili wala lile,itakula kwake
Mkuu shukrani.FUGA NGURUWE ARUSHA.SOKO NI KUBWA KULIKO NGURUWE WENYEWE.NGURUWE MDOGO WA MWEZI NI 50,000 WA MIEZI MITATU KUANZIA 250,000 MPAKA 300,000 WA MIEZI SITA NI KUANZIA LAKI NNE MPAKA 500,000. WANUNUZI WANAKUJA WENYEWE NA UKIWA NA NGURUWE WAKUBWA HATA WAKIWA 100 WANACHUKULIWA WOTE.SASA NGURUWE WANAENDA KUNUNULIWA SINGIDA,TABORA ,IRINGA NK.TENGA HIYO HELA YA CHAKULA, NGURUWE NA UWAWEKE WAWE WANAZAA KWA AWAMU
View attachment 658080
View attachment 658080
Na saluni 2(kuna watu wanasimamia),pia nkiduka cha reja reja kuna mdogo wangu anasimamia lakini sasa natafuta shughuri ntakayoifanya mie.Sio vibaya kama ukishare nasi hiyo biashara inayokuingiza 30-40 per day, then tukashauri biashara ya kufanya ili kupata hiyo laki tatu.
Chimbo la wapi hili nikacheki fursa na hukomkuu mnunuaji mdogo wa dhahabu hangojei dhahabu mjini,
anakwenda machimboni,huko ndo ataipata dhahabu maana inachimbwa,kuibuliwa na kusafishwa akiwa ama anashuhudia ama yuko arround,
machimboni ukiuza dhahabu fake watakuua tu,
watu wanaishi kwenye vijumba vya mifuko ya sulphate,
huku hadi kuna gest za magunia,chezea ,
mvua inanyesha utadhani watu watatoka,lakini ndo wamekomaa tu,
mimi sio mfanyabiashara wa madini lakini kuna watu ,majirani wanafanya biashara hiyo,
juzi kuna dada poa mmoja alikuwa anaenda kuiuza naniliu huko,sasa ame upgrade kumuuliza anadai sasa ananunua dhahabu na kuuza,
ujue matajiri wakubwa ndo wananunua kwa hawa chinga wa dhahabu,hawa chinga wananunua direct toka kwa mchimbaji
Sehemu gani mkuu(mkoa)?.Kama una uwezo jenga nyumba za wapangaji
Mkoa ulio ndani ya uwezo wako...... Huezi kosa wapangajiSehemu gani mkuu(mkoa)?.
Wewe unafanya au umefanya mkuu?Umeenda mbali sana, ukiwa mnunuzi wa dhahabu mbichi unahitaji mzani tu, labda laki mbili. Dah sijue nifafanue vp.
Tufanye ana 5m.
1g of gold=65,000Tsh
5m/65,000=76.92g
Ubora/purity=86%
Bei=86,000Tsh kwa wenye leseni
Mauzo=76.92g*86%*86,000=5,689,230,
Hata ukipandilia bei akanunua kwa 70 au 72 bado anapata hiyo faida
OK ahsante.Mkoa ulio ndani ya uwezo wako...... Huezi kosa wapangaji
Kujua ubora kuna vipimo vyake pia au scale iyo iyo ya kupima uzito na inatumika kupima ubora pia?Kweli kila mtu na uzoefu wake. Kwa uzoefu wangu huwezi kupigwa dhahabu feki, maana wewe unanunua dhahabu mbichi sio iliyoyeyushwa. Dhahabu mbichi ni vigumu kuuziwa feki, sema ubora ndio unatakiwa uujue, na ni rahisi kujua, hii ni bora zaidi kuliko nyingine. Ndani ya dakika unakuwa umeelwa tofauti na dhahabu iliyoyeyushwa
nafanyaWewe unafanya au umefanya mkuu?
ipo scale yake, ukienda kuuza ndio mnunuaji anayeyusha dhahabu, halafu anapima mbele yako.Kujua ubora kuna vipimo vyake pia au scale iyo iyo ya kupima uzito na inatumika kupima ubora pia?
Kujua ubora kuna vipimo vyake pia au scale iyo iyo ya kupima uzito na inatumika kupima ubora pia?
Kwaiyo mkuu una miliki mgodi na gharama za kumiliki roughly itakuwa tshs ngapi?kusoma CONAS sio tatizo mimi mwenyewe my bro kapita hapo na namtumia kupata kuyafahamu madini na ananipa elimu yake juu ya hii biashara na ndio aliye sababisha nimezunguka na kufahamu hasa hii biashara na faida zake... na ananiambia ukimiliki mgodi ukawa una chimba mwenyewe ni rahisi kupata hizo Mil 500... na kuendelea kwa kuwa product ipo na nijuudi zako za kufanyakazi
msichanganye watu ili waogope kufanya hizi biashara ili muendelee kuneemeka wachache... toeni njia ili wengine waingie, elezeni changamoto na namna ya kuziondoa sio kukatisha tamaa eti huwezi kuna utapeli... wapi ambapo hakuna hutapeli, biashara gani isiyo na hasara?
ujuaji mwingi mbele kiza
Na scale yake inakupa accurate kabisa na zinauzwa tshs ngapi mkuu?ipo scale yake, ukienda kuuza ndio mnunuaji anayeyusha dhahabu, halafu anapima mbele yako.
Kama,ulisoma udsm nkikupa details utanifaham,na mi stak unifaham,maana hapa ni ID fake kwa kwenda mbele
dola 1500-2500Na scale yake inakupa accurate kabisa na zinauzwa tshs ngapi mkuu?
Kwaiyo hii machine inakupa ubora na ujazo sahihi wa gold mkuu?