Biashara Gani hasa kipindi hiki cha awamu ya 5 inafaa

Biashara Gani hasa kipindi hiki cha awamu ya 5 inafaa

Upo na msingi Wa Sh ngapi masee? Upo pande ipi? Utaran mwenyewe ama unategemea taaluma za wengine?
 
Biashara ya usafirishaji wa abiria hasahasa daladala; kwani lazima watu kila siku waende kazini kusaka ridhiki!! Cha msingi isiwe mbovu na upate dereva mwaminifu!! Issue nyingine biashara ya kuuza chakula pia na pombe, wabongo wana stress sana sasahivi akipata kidogo lazima ajipoze na nyagi au bia! Kazi kwako
 
Wa ndugu Twende kwenye mada, kipindi hiki cha awamu ya 5 ni biashara Ipi imechangamka,? Mtu unaweza unafanya bila Mawazo? [emoji17]
Sio mbaya tukipeana ukweli wa jambo hili mtu ukajua PA kuanzia.
Maana kila Kona waambiwa biashara hamna na maduka yanafungwa,
Hii Hali itakuwaa hivi hadi lini?
Kilimo cha umwagiliaji
 
Sio kwa watanzania. Ni Waoga mno
Ni kweli mkuu nakuona hata wewe mwenyewe umeandika ulichoandika mlango umefunga vzr tundu la sealing board umeliacha wazi macho yapo dirishani kuangalia wanaopita.
 
Wa ndugu Twende kwenye mada, kipindi hiki cha awamu ya 5 ni biashara Ipi imechangamka,? Mtu unaweza unafanya bila Mawazo? 😔
Sio mbaya tukipeana ukweli wa jambo hili mtu ukajua PA kuanzia.
Maana kila Kona waambiwa biashara hamna na maduka yanafungwa,
Hii Hali itakuwaa hivi hadi lini?
Kabla ya yote anza kujipendekeza. Kuwa mnafiki wa kiwango cha SGR.
Wasifie sana Jiwe na Bashite bila kukoma.
 
Wa ndugu Twende kwenye mada, kipindi hiki cha awamu ya 5 ni biashara Ipi imechangamka,? Mtu unaweza unafanya bila Mawazo? [emoji17]
Sio mbaya tukipeana ukweli wa jambo hili mtu ukajua PA kuanzia.
Maana kila Kona waambiwa biashara hamna na maduka yanafungwa,
Hii Hali itakuwaa hivi hadi lini?
Biashara yoyote halali kwa mujibu wa sheria za nchi
 
Wa ndugu Twende kwenye mada, kipindi hiki cha awamu ya 5 ni biashara Ipi imechangamka,? Mtu unaweza unafanya bila Mawazo? 😔
Sio mbaya tukipeana ukweli wa jambo hili mtu ukajua PA kuanzia.
Maana kila Kona waambiwa biashara hamna na maduka yanafungwa,
Hii Hali itakuwaa hivi hadi lini?
 
Wa ndugu Twende kwenye mada, kipindi hiki cha awamu ya 5 ni biashara Ipi imechangamka,? Mtu unaweza unafanya bila Mawazo? 😔
Sio mbaya tukipeana ukweli wa jambo hili mtu ukajua PA kuanzia.
Maana kila Kona waambiwa biashara hamna na maduka yanafungwa,
Hii Hali itakuwaa hivi hadi lini?
 
Wa ndugu Twende kwenye mada, kipindi hiki cha awamu ya 5 ni biashara Ipi imechangamka,? Mtu unaweza unafanya bila Mawazo? 😔
Sio mbaya tukipeana ukweli wa jambo hili mtu ukajua PA kuanzia.
Maana kila Kona waambiwa biashara hamna na maduka yanafungwa,
Hii Hali itakuwaa hivi hadi lini?
anzisha biashara ya kuuza dawa za kuongeza nguvu za kiume na kamali,utatoboa
 
Back
Top Bottom