Biashara Gani hasa kipindi hiki cha awamu ya 5 inafaa

Biashara Gani hasa kipindi hiki cha awamu ya 5 inafaa

Biashara ya nafaka imekua dili sana haswa mahindi...nikikumbuka gunia lilifika elf 20 nachoka sana
 
Haaaa haaa
Anza kuchoma mbuzi na kuuza serengeti light kwa muromboo na hakika utatengeneza pesa nyingi tu...
a wewe wasema, pale sahiv ni shida, yamebebakia mabanda mawili tu ya mbuzi, wamasai wameshindwa kisa biashara hakuna
 
Wa ndugu Twende kwenye mada, kipindi hiki cha awamu ya 5 ni biashara Ipi imechangamka,? Mtu unaweza unafanya bila Mawazo? [emoji17]
Sio mbaya tukipeana ukweli wa jambo hili mtu ukajua PA kuanzia.
Maana kila Kona waambiwa biashara hamna na maduka yanafungwa,
Hii Hali itakuwaa hivi hadi lini?
Gongo ya kulewesha waliofrastireti kwa dakika mbili tu na bangi ya kuvutwa kisiri bila harufu.
Hizi biashara nyingine za halali zimejifia kwa mauti ya kunyongwa!
 
Kila biashara inalipa inategemeana unaifanyia eneo lip coz biashara ni watu.
 
Wa ndugu Twende kwenye mada, kipindi hiki cha awamu ya 5 ni biashara Ipi imechangamka,? Mtu unaweza unafanya bila Mawazo? 😔
Sio mbaya tukipeana ukweli wa jambo hili mtu ukajua PA kuanzia.
Maana kila Kona waambiwa biashara hamna na maduka yanafungwa,
Hii Hali itakuwaa hivi hadi lini?
Transport, usafirishaji wa aina yeyote. Sijawahi ona mtu anakuja kukopa ili asafiri, na kila anayesafiri hukopa kabisa ili aje alipe cash.
 
Wa ndugu Twende kwenye mada, kipindi hiki cha awamu ya 5 ni biashara Ipi imechangamka,? Mtu unaweza unafanya bila Mawazo? 😔
Sio mbaya tukipeana ukweli wa jambo hili mtu ukajua PA kuanzia.
Maana kila Kona waambiwa biashara hamna na maduka yanafungwa,
Hii Hali itakuwaa hivi hadi lini?

Kaka, biashara pekee ambayo haina ugumu wa maisha ni "Pombe". Pesa iwepo watu watakunywa pombe, ikikosekana watakunywa pia kwa stress!
Kazi Kwako!
 
Biashara ya 'siasa za kinafki' inafanya vizuri sana kwa sasa mkuu!!
 
IMG_0196.JPG
 
Mbadala wa mfuko wa Plastiki. Kuanzia tarehe 31/May 2019 ni mwisho wa matumizi ya Mifuko ya Plastic Tanzania. Hii ni fursa. Wasiliana nami tafadhali.
 
Back
Top Bottom