elia000000
New Member
- Oct 7, 2021
- 1
- 7
Nifanye biashara gani itakayoweza kuniingizia faida ya 3M kwa mwezi.
Naombeni ushauri
Naombeni ushauri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una mtaji kias ganNifanye biashara gani itakayoweza kuniingizia faida ya 3M kwa mwezi.
Naombeni ushauri
Kwa mtaji kiasi gani? Taja maji kwanzaNifanye biashara gani itakayoweza kuniingizia faida ya 3M kwa mwezi.
Naombeni ushauri
Biashara ya kuingiza million 3 kwa mwezi fungua sheri 2 za mafutaNifanye biashara gani itakayoweza kuniingizia faida ya 3M kwa mwezi.
Naombeni ushauri
Bet ndugu betNifanye biashara gani itakayoweza kuniingizia faida ya 3M kwa mwezi.
Naombeni ushauri
Mimi naingiza million hata 100 kwa siku sema hizo biashara ulizonitajia ni nagative sana ideaUza magari mkuu agiza kutoka japan IST passo crown huwez kosa M3 kwa mwez au jenga SGR kutoka dom had mwanza ukishusha tren zako za umeme aaah M3 kwa mwez nje nje au nunua roli kama 100 hv ziwe zinatoa mzigo bandarin kwenda nje ya nchi hapo M3 kwa mwezi bila stress, kwa mtaji wako biashara hizo zinakufaa
Good ideaNjoo tutunue mashamba tukate viwanja chapu tu
MkuuuuuuMimi naingiza million hata 100 kwa siku sema hizo biashara ulizonitajia ni nagative sana idea
M100 kwa siku na unakuja kuomba ushaur wa biashara ya faida M3 kwa mwezi!! Ila sio mbaya ndio matajiri wetu JFMimi naingiza million hata 100 kwa siku sema hizo biashara ulizonitajia ni nagative sana idea
Kwahiyo mimi ndio nime post kuomba ushauri?M100 kwa siku na unakuja kuomba ushaur wa biashara ya faida M3 kwa mwezi!! Ila sio mbaya ndio matajiri wetu JF
Hauziwezi mkuu zinahitaji elimu na experienceMkuuuu
Mkuuuuuu
Mkuuuuuu
Mmmh tajiri wa duniaaa mkuuu
Tupe channel kama hazina......kukamatana
Honestly, watu wenye hela wengi sijui kwanini hawana idea, ni wachache sana wenye idea tena hao wanafanikiwa sana.Hauziwezi mkuu zinahitaji elimu na experience
B
Bet ndugu bet
Utankumbuka
Gen Z
Karibun
Nifanye biashara gani itakayoweza kuniingizia faida ya 3M kwa mwezi.
Naombeni ushauri
[/QUOTElabflabda umtembelee P Diddy akupe ushaurNifanye biashara gani itakayoweza kuniingizia faida ya 3M kwa mwezi.
Naombeni ushauri