Biashara gani inaweza kuingiza faida Tsh 3M kwa mwezi?

Biashara gani inaweza kuingiza faida Tsh 3M kwa mwezi?

"I could show y'all how to juggle anything and make it double,Weed, blow, real estate, liquor sto' wit' no trouble" - TI Rubber Band Man (Grand Hustle).

Ukiweze kuwekeza kwende bold hapo utazipata.
 
mkiangalia movie pamoja
Loh

Everton U21 – Reading U21
Tips: Home @2.00

Benevento – Juventus U23
Tips: 1& over 2.5 @2.10

Wajasiriamali
MKUUU HIZO N ODDS 5

UNGEWEKA LAKI UNA LAKI 5 SASAHIVI
 
Uza magari mkuu agiza kutoka japan IST passo crown huwez kosa M3 kwa mwez au jenga SGR kutoka dom had mwanza ukishusha tren zako za umeme aaah M3 kwa mwez nje nje au nunua roli kama 100 hv ziwe zinatoa mzigo bandarin kwenda nje ya nchi hapo M3 kwa mwezi bila stress, kwa mtaji wako biashara hizo zinakufaa
Hii ni comment yenye akili sana na ni wachache sana wanaweza kuielewa
Mtoa mada ni kiazi tena kile kiasi kikuu kabisa
 
Mkuu ukijipanga unaweza kurusha satelaiti zako kama Starlink ya Elon Musk utuletee BongoLink ukiuza bando ya spidi kali unlimited kwa mwezi 30,000 ukipata wateja mia basi hiyo ni Milioni 3 hapa JF hautakosa wateja 100 kitaa ndio usiseme🐼
 
Anzisha dangulo ...wadada wadangaji wako kibao siku hizi.

Utapata hata milioni 70 kwa mwezi.
 
Uza magari mkuu agiza kutoka japan IST passo crown huwez kosa M3 kwa mwez au jenga SGR kutoka dom had mwanza ukishusha tren zako za umeme aaah M3 kwa mwez nje nje au nunua roli kama 100 hv ziwe zinatoa mzigo bandarin kwenda nje ya nchi hapo M3 kwa mwezi bila stress, kwa mtaji wako biashara hizo zinakufaa
👋
 
Kuhusu biashara inategemea sana mmliki, (tabia za ujasiriamali na elimu dunia), biashara hiyo hiyo na mtaji huohuo lakini uendeshwaji husababisha maingizo yakawa tofauti, ukichagiza, eneo la biashara, bila kusahau wateja hivi ni vichache tu lakini ni muhimu, kitaalamu unatakiwa uwe na andiko la biashara ili uweze kufanya biashara shindani
 
Back
Top Bottom