Biashara gani itanitoa kimaisha niepukane na umasikini?

Biashara gani itanitoa kimaisha niepukane na umasikini?

MEK_TZ

Senior Member
Joined
Apr 21, 2021
Posts
179
Reaction score
365
Wakuu, ni matumaini yangu wazima wa afya,

Nijikite Moja Kwa Moja kwenye mada husika. Naomba msaada juu ya biashara gani naweza fanya nikajikwamua katika hali ya chini.

Moja ktk harakati za utafutaji (Udalali), nimebahatika kufikia kiasi kadhaa Cha fedha 10M, changamoto ninayopitia mpaka sasa nimeshindwa kuiendeleza kutokana na kuwa sijajua nifanye biashara gani itakayo zalisha pesa kwa uharaka na bila maumivu makali.

Nimejaribu fatilia baadhi ya wafanyabiashara wamekuwa wakilalamikia suala la tozo kuwa nyingi kwenye shughuli zao lakini pia haitoshi nikajaribi ingia kwenye kilimo jambo ambalo linahitaji muda wa ziada na utayari wa chochote ktk kuvuna au kupata hasara.

Natamani sana kufanya biashara na ni ndoto niliyokuwa nayo katika maisha yangu naomba maoni yenu, msaada, connection na elimu pia juu ya biashara.

#MEK
 
Ukifungua duka, sijui mgahawa, sijui pub sijui banda la chips, sijui duka la nguo nakuapia utapoteza hyo hela. Mapemaa Saa 2 Asubuhi.

All u need ni shughuli ya kufanya na kuisimamia wewe mwenyewe ambae 100% utakua una deal nayo chances ukipata 10 M nyingine mara mbili yake tena about 20 M kama hyo ndio utaitumia kufungua biashara nlizotaja hapo mwanzo tena kwa kuangalia na mazingira kwa umakini otherwise uta lost big tym my friend.

Been There Done That, For now usifanye biashara Ambayo Utahitaji Kuajiri Watu Wakusaidie Maana Hao Ndio Pasua Kichwa Watakupiga na Kukuliza, Atleast Not For Now (Kuza Kwanza Mtaji Wewe Mwenyewe) Utapata uzoefu na kujifunza mengi sanaa, Hela Ina Codes Nyingi Sana Mkuu Hasa Mtaani.

USHAURI:

Nunua Bajaj / Gari Used not more that 7 M nyingine save for emergency purposes. Register chombo uber / bolt ingia kazini huku una piga mishe za udalali mbili tatu. Utastirika Sana, Biashara zenye nature ya logistics ndio zinazo waweka sana watu mjini iwe bajaj, uber, pick up, canter, fuso yani hizi japo ni challenge ila atleast mostly kama una deal nazo wewe mwenyewe first hand.

Utanishkuru Baadae.
 
Pharmacy kwa mtaji huo itatosha kwel mkuu,,!!?

Mimi nina rafiki yangu alifungua phamarcy kubwa tu tegeta karibu na rabinsinsia stock worth almost 25 M achilia mbali equipments, pc, shelves, rent, mishahara na mengine….hakutoboa miaka 2 akafunga na mkewe ni phamarcist, yani cases ni nyingi sana.

What people don’t know is that wanashindwa calculate estimates za profit margins vizuri + turnovers ambazo ndio za kuja ku cover business obligations na hyo tena ni mpaka mtu uuze sasa imagine mtu kalaza stock ya 25 M mpaka auze ndio aone profit. Wengi wanao toboa town hawategemei retail profits pekee unakuta pia ni whole salers mtu ku flip stock ya 15 M in hours ni kawaida sana kwa wholesale buyers achilia mbali supplies labda uwe na laboratory services hapo hapo…still inawezekana ila ni ujipange sanaa.

Tafuta simple means za ku build capital moja wapo hyo njia nliokuambia then ingia biashara ya kununua na kuuza fixed assets i.e. viwanja, magari etc hizi stocks ndogo ndogo yani labda uje umiliki 70+ M huko tena iwe target yako ni wholesale, kuwa na subra na have determination with your goals and savings.

Sasa wenzako wanaendesha bajaj au uber kwa siku mtu hakosi 40k - 60k net profit kashatoa mafuta…..mwisho wa mwezi ni nyingi sana ukitoa service and parts bado hela inabaki nzuri tu. Sasa wafate hawa biashara za maduka sijui nn follow all the principles uone kama utafunga 500K net profit kwa mwezi. We mpakaa uuze vitu dukani viishe ubadili stock mara kadhaa ndio ikulipe unafanya mchezo nn na hapo ni headache kibao.

Well Ni Mtazamo Wangu Wa Dhati From My Real Experience, Unaweza Upuuza Lakini.
 
Nimeamini watu wengi hawana experience na biashara Zaid Sana wanazuona tu wala na kuanza kushauri
Huo mtaji ni mkubwa mno.

Kama upo dar nenda tegeta au jigamboni fungua duka kubwa la mabomba ya maji ya ndani na sanitari zake utakuja kunishukuru

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Nimeamini watu wengi hawana experience na biashara Zaid Sana wanazuona tu wala na kuanza kushauri
Huo mtaji ni mkubwa mno.

Kama upo dar nenda tegeta au jigamboni fungua duka kubwa la mabomba ya maji ya ndani na sanitari zake utakuja kunishukuru

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwa huo mtaji mkuu utatosha,, anzia hesabu za chumba shelves Bado vifaaa na wapi pa kupatia vifaa,, kuagiza au kununua kwa wauzaji wa jumla?
 
Mimi nina rafiki yangu alifungua phamarcy kubwa tu tegeta karibu na rabinsinsia stock worth almost 25 M achilia mbali equipments, pc, shelves, rent, mishahara na mengine….hakutoboa miaka 2 akafunga na mkewe ni phamarcist, yani cases ni nyingi sana.

What people don’t know is that wanashindwa calculate estimates za profit margins vizuri + turnovers ambazo ndio za kuja ku cover business obligations na hyo tena ni mpaka mtu uuze sasa imagine mtu kalaza stock ya 25 M mpaka auze ndio aone profit. Wengi wanao toboa town hawategemei retail profits pekee unakuta pia ni whole salers mtu ku flip stock ya 15 M in hours ni kawaida sana kwa wholesale buyers achilia mbali supplies labda uwe na laboratory services hapo hapo…still inawezekana ila ni ujipange sanaa.

Tafuta simple means za ku build capital moja wapo hyo njia nliokuambia then ingia biashara ya kununua na kuuza fixed assets i.e. viwanja, magari etc hizi stocks ndogo ndogo yani labda uje umiliki 70+ M huko tena iwe target yako ni wholesale, kuwa na subra na have determination with your goals and savings.

Sasa wenzako wanaendesha bajaj au uber kwa siku mtu hakosi 40k - 60k net profit kashatoa mafuta…..mwisho wa mwezi ni nyingi sana ukitoa service and parts bado hela inabaki nzuri tu. Sasa wafate hawa biashara za maduka sijui nn follow all the principles uone kama utafunga 500K net profit kwa mwezi. We mpakaa uuze vitu dukani viishe unadili stock mara kadhaa ndio ikulipe unafanya mchezo nn na hapo ni headache kibao.

Well Ni Mtazamo Wangu Wa Dhati From My Real Experience, Unaweza Upuuza Lakini.
Mkuu nimekupata vyema kabisa changamoto udalali ninabangaiza mpaka kufikia kiasi nilichopat ni issue ya kudamka asubuhi na kurudi jioni au usiku kabsa na ni lazima kila siku,, mapumziko yangu angalau j2 so naweza jiunga na Uber mkuu Kwa muda huo mchache nilio nao.
 
Haijalishi wewe ni muislam au msabato nenda mbeya/Kilimanjaro kanunue nguruwe wazima wasafirishe mpaka dar fungua vijiwe viwili anza kuuza,dar kg ya nguruwe ni 12k-15k kutegemea na location sasa wewe usiuze bei hiyo uza kg 9k tu halafu tafuta mpishi mzuri
Ndani ya miezi 6 utaleta majibu
 
Mimi nina rafiki yangu alifungua phamarcy kubwa tu tegeta karibu na rabinsinsia stock worth almost 25 M achilia mbali equipments, pc, shelves, rent, mishahara na mengine….hakutoboa miaka 2 akafunga na mkewe ni phamarcist, yani cases ni nyingi sana.

What people don’t know is that wanashindwa calculate estimates za profit margins vizuri + turnovers ambazo ndio za kuja ku cover business obligations na hyo tena ni mpaka mtu uuze sasa imagine mtu kalaza stock ya 25 M mpaka auze ndio aone profit. Wengi wanao toboa town hawategemei retail profits pekee unakuta pia ni whole salers mtu ku flip stock ya 15 M in hours ni kawaida sana kwa wholesale buyers achilia mbali supplies labda uwe na laboratory services hapo hapo…still inawezekana ila ni ujipange sanaa.

Tafuta simple means za ku build capital moja wapo hyo njia nliokuambia then ingia biashara ya kununua na kuuza fixed assets i.e. viwanja, magari etc hizi stocks ndogo ndogo yani labda uje umiliki 70+ M huko tena iwe target yako ni wholesale, kuwa na subra na have determination with your goals and savings.

Sasa wenzako wanaendesha bajaj au uber kwa siku mtu hakosi 40k - 60k net profit kashatoa mafuta…..mwisho wa mwezi ni nyingi sana ukitoa service and parts bado hela inabaki nzuri tu. Sasa wafate hawa biashara za maduka sijui nn follow all the principles uone kama utafunga 500K net profit kwa mwezi. We mpakaa uuze vitu dukani viishe unadili stock mara kadhaa ndio ikulipe unafanya mchezo nn na hapo ni headache kibao.

Well Ni Mtazamo Wangu Wa Dhati From My Real Experience, Unaweza Upuuza Lakini.
Powerful

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Honestly speaking....business idea nzuri ni ile unayogenerate wewe mwenyewe kichwani kwako especially ikiwa ndo unaanza kwa sababu utakua na natural desire ya kukamilisha na kuiendeleza hata ukikutana na changamoto utapambana nazo kwahyo nakushauri listen to your inner voice jitathmini mwenyewe

Business idea ya kushauriwa inafaa kwa watu ambao tayari wana biashara zao ila wanataka ku expand kwenye biashara zingine mfano mtu mwenyewe pharmacy akitaka kufungua biashara nyingine tofauti hapo anaweza kuomba ushauri kwa watu ni biashara gani afanye anaweza akashauriwa anunue bajaji aziweke barabarani au afungue restaurant na hapo yeye ndo ataamua afanye ipi na incase mambo yakaenda hovyo kwenye biashara mpya...pharmacy ipo inamlinda

Ila kwa wanaoanza na biashara za kushauriwa kuna risk kubwa sana ya kuangukia pua japokua wapo waliotoboa ila asilimia kubwa wanafeli..numbers don't lie kwahyo kuwa makini mkuu kila la kheri

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Mimi nina rafiki yangu alifungua phamarcy kubwa tu tegeta karibu na rabinsinsia stock worth almost 25 M achilia mbali equipments, pc, shelves, rent, mishahara na mengine….hakutoboa miaka 2 akafunga na mkewe ni phamarcist, yani cases ni nyingi sana.

What people don’t know is that wanashindwa calculate estimates za profit margins vizuri + turnovers ambazo ndio za kuja ku cover business obligations na hyo tena ni mpaka mtu uuze sasa imagine mtu kalaza stock ya 25 M mpaka auze ndio aone profit. Wengi wanao toboa town hawategemei retail profits pekee unakuta pia ni whole salers mtu ku flip stock ya 15 M in hours ni kawaida sana kwa wholesale buyers achilia mbali supplies labda uwe na laboratory services hapo hapo…still inawezekana ila ni ujipange sanaa.

Tafuta simple means za ku build capital moja wapo hyo njia nliokuambia then ingia biashara ya kununua na kuuza fixed assets i.e. viwanja, magari etc hizi stocks ndogo ndogo yani labda uje umiliki 70+ M huko tena iwe target yako ni wholesale, kuwa na subra na have determination with your goals and savings.

Sasa wenzako wanaendesha bajaj au uber kwa siku mtu hakosi 40k - 60k net profit kashatoa mafuta…..mwisho wa mwezi ni nyingi sana ukitoa service and parts bado hela inabaki nzuri tu. Sasa wafate hawa biashara za maduka sijui nn follow all the principles uone kama utafunga 500K net profit kwa mwezi. We mpakaa uuze vitu dukani viishe ubadili stock mara kadhaa ndio ikulipe unafanya mchezo nn na hapo ni headache kibao.

Well Ni Mtazamo Wangu Wa Dhati From My Real Experience, Unaweza Upuuza Lakini.
Biashara ya Pharmacy mchawi ni location na stock(balance and management) plus competent staffs.
 
Biashara ya Pharmacy mchawi ni location na stock(balance and management) plus competent staffs.

And This Will Still Cost You A Lot Of Money. Niamini Mkuu Watu Wamefanya Hayo Yote…..Lakini Wapi.

Siri Kubwa Kwenye Biashara Ya Trading, Ni Uwe WholeSaler…..Unazungusha Stock worth 30 M wholesale in a day ila profit unaweza pata 1 M au 1.3 M. Sasa Zungusha Stock Tena Na Tena. Utaona Utamu Wake, Hapo Lazima Maisha Yako Yabadilike. Ila Sio Ulangue Stock Ndogo Ndogo Hapo Utapata Hela Ya Kubadili Mboga Tu. Wafanya Biashara Wakubwa Wanafanya Both.

Amini Nakuambia.
 
Haijalishi wewe ni muislam au msabato nenda mbeya/Kilimanjaro kanunue nguruwe wazima wasafirishe mpaka dar fungua vijiwe viwili anza kuuza,dar kg ya nguruwe ni 12k-15k kutegemea na location sasa wewe usiuze bei hiyo uza kg 9k tu halafu tafuta mpishi mzuri
Ndani ya miezi 6 utaleta majibu
Noma sana.
 
Back
Top Bottom