Biashara gani itanitoa kimaisha niepukane na umasikini?

Biashara gani itanitoa kimaisha niepukane na umasikini?

Segerea pagumu sana kuchomoka
Ukiona mtu kaenda jela kwa sbb ya bangi ujue mtu huyo hakufanya biashara hiyo kwamujibu wa principles nina mfano hai kuna mtu namfahamu mwaka 2020 kipindi hicho magu ndio magu kweli alishikwa na fuso imejaa bangi ila pembeni na juu botion kaweka mikungu ya ndizi jamaa wazee walikpmaa atoe 10m ndio wamuachie yeye na mzigo mwamba akasema twende mbele tutajua hukohuko long story short jamaa kufika mbele alichomoka na mzigo wake kwa chini ya nusu ya hela waliyotaka wale wa Road block na hadi leo anaishi, kikubwa akili mtu wangu!
 
Manufacturer anamtegemea retailer na retailer anamtegemea manufacturer
Ila manufacturer ndio mwenye Password ya game nzima kwa manaa ya ku control almost everything. Anapanga kuanzia logistics, price akiwa na Qualified Staff, Giant Capital, e.t.c mtu wa hivi kufanikiwa ni must.

Mtu wa aina hiyo kinamna yeyote lazma apige mega profit kwenye item au service husika.

Retail wengi wanahishi bora kuche tu kwenye business world, hana Qualified staff, Poor government policy , lack of Capital, Poor infrastructure [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nilikuwaga nauza kwa mtaji mdogo but in a wholesale manners, nakumbuka faida niliiona kwenye kazi yangu.
 
Kwahiyo wewe unataka kusema waliofanikiwa wote walianza na mtaji mkubwa tu?
And This Will Still Cost You A Lot Of Money. Niamini Mkuu Watu Wamefanya Hayo Yote…..Lakini Wapi.

Siri Kubwa Kwenye Biashara Ya Trading, Ni Uwe WholeSaler…..Unazungusha Stock worth 30 M wholesale in a day ila profit unaweza pata 1 M au 1.3 M. Sasa Zungusha Stock Tena Na Tena. Utaona Utamu Wake, Hapo Lazima Maisha Yako Yabadilike. Ila Sio Ulangue Stock Ndogo Ndogo Hapo Utapata Hela Ya Kubadili Mboga Tu. Wafanya Biashara Wakubwa Wanafanya Both.

Amini Nakuambia.
 
Biashara itakayokuletea pesa za haraka bila maumivu makalii 😂
Kwa mawazo hayo ya kidalali tuu tayari ushafeli na ujiandae kupotea vibaya kwenye ramani vinginevyo baki kwenye udalali tuu. Maana huko pesa zake huwa ni za haraka na batili na zinadumaza ability.
Badili mtazamo wako kwanza
 
Ndio Maana Nikasema Toka Mwanzo Kwamba
Patience, Ethics na Discipline

Most of all is STRATEGY

Being at the right place with the right Mentality.

Grace Matters as well.
You've what it takes to be successful trader.
Nna million 19 hadi sasa tangu mwezi mwaka jana bado sijajua kitu cha kufanya au product ya kuuza. Pesa nilizipata sehemu fasta though nna background ya biashara eventhough ni season business.

Can you advise what to do?
Location wise kwa sasa niko Mwanza?
 
Haijalishi wewe ni muislam au msabato nenda mbeya/Kilimanjaro kanunue nguruwe wazima wasafirishe mpaka dar fungua vijiwe viwili anza kuuza,dar kg ya nguruwe ni 12k-15k kutegemea na location sasa wewe usiuze bei hiyo uza kg 9k tu halafu tafuta mpishi mzuri
Ndani ya miezi 6 utaleta majibu
Asante mkuu vipi kuhusu kuwasafilisha wao hawana mambo ya vibari na tozo za njiani kama ilivyo mambo ya misitu..,,!!??
 
Asante ndugu Kwa ushauri
Honestly speaking....business idea nzuri ni ile unayogenerate wewe mwenyewe kichwani kwako especially ikiwa ndo unaanza kwa sababu utakua na natural desire ya kukamilisha na kuiendeleza hata ukikutana na changamoto utapambana nazo kwahyo nakushauri listen to your inner voice jitathmini mwenyewe


Business idea ya kushauriwa inafaa kwa watu ambao tayari wana biashara zao ila wanataka ku expand kwenye biashara zingine mfano mtu mwenyewe pharmacy akitaka kufungua biashara nyingine tofauti hapo anaweza kuomba ushauri kwa watu ni biashara gani afanye anaweza akashauriwa anunue bajaji aziweke barabarani au afungue restaurant na hapo yeye ndo ataamua afanye ipi na incase mambo yakaenda hovyo kwenye biashara mpya...pharmacy ipo inamlinda


Ila kwa wanaoanza na biashara za kushauriwa kuna risk kubwa sana ya kuangukia pua japokua wapo waliotoboa ila asilimia kubwa wanafeli..numbers don't lie kwahyo kuwa makini mkuu kila la kheri

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Thanks Mkuu

The Struggle Is Real. Everyone’s Tryna Make It Out Tha Ghetto. Question is HOW ??

Noma Sana, Lazima Upasuke Ndonga.
Yaaan kila nikifikilia kichwa inauma balaaa asee
 
You've what it takes to be successful trader.
Nna million 19 hadi sasa tangu mwezi mwaka jana bado sijajua kitu cha kufanya au product ya kuuza. Pesa nilizipata sehemu fasta though nna background ya biashara eventhough ni season business.

Can you advise what to do?
Location wise kwa sasa niko Mwanza?

Employed / Self Employed ??

Muda wako umekaaje, can u devote atleast 8 - 10 hours a day on your business ??

Mfano mi ukinipa hyo natafuta canter used (box body) au canter ya mizigo hizi za tonne 2 engine 4D33….used najua naweza ipata kwa 9 - 12 M naiweka sawa na kuinyoosha kwa kama 3 M hivi jumla 15 M….naanza nayo kubeba mizgo ya watu ya samaki kupeleka airport kusafirishwa…..(and other stocks as well)

Yani inshort deal na logistics kuna madeal mengi yatafunguka hasa ukiwa na mtaji mkononi wa kununua bidhaa flani ambazo unajua nikitoa point A nikipeleka point B kuuzwa mzigo haukai iwe vifaa vya hardware, sijui vyakula sijui stock za madukani yani huwezi kosa ma deal hasa kama una capital na kumbuka hata kubeba stocks za watu wengine kuna mambo na siri zao za trading utasanuka tu na kupata margins flan ukiwa serious (mwishowe yale yale michezo ya wholesale biz techniques).

Yes kwa kuanza gari endesha mwenyewe.
 
Employed / Self Employed ??

Muda wako umekaaje, can u devote atleast 8 - 10 hours a day on your business ??

Mfano mi ukinipa hyo natafuta canter used (box body) au canter ya mizigo hizi za tonne 2 engine 4D33….used najua naweza ipata kwa 9 - 12 M naiweka sawa na kuinyoosha kwa kama 3 M hivi jumla 15 M….naanza nayo kubeba mizgo ya watu ya samaki kupeleka airport kusafirishwa…..(and other stocks as well)

Yani inshort deal na logistics kuna madeal mengi yatafunguka hasa ukiwa na mtaji mkononi wa kununua bidhaa flani ambazo unajua nikitoa point A nikipeleka point B kuuzwa mzigo haukai iwe vifaa vya hardware, sijui vyakula sijui stock za madukani yani huwezi kosa ma deal hasa kama una capital na kumbuka hata kubeba stocks za watu wengine kuna mambo na siri zao utasanuka tu na kupata margins flan ukiwa serious (mwishowe yale yale michezo ya wholesale biz techniques).

Yes kwa kuanza gari endesha mwenyewe.
This is brilliant.... nina shemeji yangu kapata over 500milion kwenye hizi deal huku kanda ya ziwa. Alianza na canter ya jamaa mmoja hivi then akafanya kwa bidii na kupata gari zake kadhaa.

Kwa sasa kuna watu wanamuamini anawapelekeaga hadi mzigo wa million 100 wanampa baada ya kupata mzigo. Sasa hapa hata akiweka cha juu hakosi mkwanja mzuri. Plus hajalipwa ya usafiri wake... logistics charges.

Ukimuona kwa sasa jamaa Ana hela nzuri tu. Yaani sio myonge financially.

Ndio maana natoa Big yes kwenye hili suala.

Na kimsingi nalifanyia kazi.
 
Back
Top Bottom