Biashara gani itanitoa kimaisha niepukane na umasikini?

Biashara gani itanitoa kimaisha niepukane na umasikini?

Acha kumdanganya mwenzako biashara ya uber inalipa wewe huijui na hujawahi kuifanya. Uber nimefanya two years na kwakutumia Gari na hakuna nilichopata zaid ya kuumiza gari. Kwanza wabongo mlivyo na roho za kukunjiana huwa hamsemi ukweli siri za mafanikio yenu/kuelezea biashara zenu namna mlivyo anza njia mlizopitia mpaka kukuza mitaji kuwa mikubwa. Wengi wenu mkiombwa ushauri wa baishara mnaishia tu kusema“Kuna jamaa anapiga pesa alianza na kirukuu ya kukodi sasaivi ameshanunua zake nne na mwezi ujao anavuta Fuso” STUPID!! biashara zenu binafsi mnazozifanya au zilizowatoa huwa hamzisemi. Bla bla tu na kujifanya mna ideas nyingi vichwani kumbe wachawi tu.

We Bana Kula Kulala Tu, Hustle Za Mtaa Unazijua Wap ?? Mahali nimekuona boya eti hesabu ya uber / bolt kwa siku ni 15k ?? Daaah

Wewe hata facts zako zina prove kabisa hujai jitaftia hela mtaani hujui chochote……ninge kuona wa maana unge lay facts hapa 1,2,3 watu wa challenge.

Kwa taarifa yako zipo company za wachina hapa bongo wanawapa vijana gari za kufanya hzo hzo uber / bolt kwa makubaliano flani ma mia ya vijana wana register kufanya nao kazi…..sasa na wao sijui hesabu yao ni 15k per day au vp ?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

N!gg@ Please [emoji1787][emoji38][emoji1787]
 
We Bana Kula Kulala Tu, Hustle Za Mtaa Unazijua Wap ?? Mahali nimekuona boya eti hesabu ya uber / bolt kwa siku ni 15k ?? Daaah

Wewe hata facts zako zina prove kabisa hujai jitaftia hela mtaani hujui chochote……ninge kuona wa maana unge lay facts hapa 1,2,3 watu wa challenge.

Kwa taarifa yako zipo company za wachina hapa bongo wanawapa vijana gari za kufanya hzo hzo uber / bolt kwa makubaliano flani ma mia ya vijana wana register kufanya nao kazi…..sasa na wao sijui hesabu yao ni 15k per day au vp ?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

N!gg@ Please [emoji1787][emoji38][emoji1787]

Endelea kudanganya watu humu kwamba biashara ya uber inalipa. Ngoja nikupe elimu mtoto wa mama wa kuskiliza story za vijiweni na kutuletea hapa. Two years back gari ya mkataba kwa wiki ilikuwa 150,000-180,000 service kila kitu juu ya Dereva baada ya miaka miwili gari linakuwa la Dereva na wahindi walikuwa wanakopesha viajana magari. Hii hesabu ilikuwa vijana kibao wanashindwa wanajikuta wanarudisha magari au wananyang’anywa kwa kufeli kupeleka hesabu kwa wakati. Pili gari isiyokuwa ya mkataba ilikuwa hesabu kwa wiki ni 100,000-120,000 kwa wiki service matengenezo ya gari ilkuwa juu ya boss. Pia hapa viajana wengi walinyng’anywa magari kwa kushindwa/kufeli kupelekea hesabu kwa wakati. Vijana wengi waliuza masega ya hizi gari pamoja na hata spare parts au taili ili kupeleka hesabu kwa boss. Kijana unamkuta anaendesha gari inakaribia siku ya hesabu Hela alonayo mkononi haileweki mwisho wa siku wanaenda mpaka kukopa Hela kwenye familia zao ili wapeleke hesabu. Kijana unamkuta anaendesha uber harudi kwao siku mbili tatu mpaka nne anakesha kutafuta hesabu, unaingia kwenye gari unakutana na dereva ananuka hajaoga siku mbili tatu. Kuna kipindi madereva wakaandamana sana pale Leaders mpaka ofisi za Latra kusinikiza uber/bolt wapunguze makato (commission) kwani madereva hawapati kitu na migomo hii ilifanyika Mara nyingi tu mpaka hata uber wakaondoa magari wakabaki kwenye Bodaboda baada ya kulazimishwa na Latra wapunguze commission inamana wewe vyote hivi hukuvisikia?au ulikuwa kwenu kijijini? Kijana kaomba ushauri ana milion10 anataka wazo la biashara ambalo litamtoa kimaisha wewe unamletea habari za uber na bolt!! Angalia sasaiv kuna bajaji ngapi zipo kwenye huo mfumo? Zote zimejitoa kwakuwa hawapati kitu wameamua kurudi vijiweni. Sasaivi vijiwe vya bajaji wanalipia mpaka laki 5 kujiunga. SIKU NYINGINE UKOME KULETA STORY STORY ZA KUSIKIA MTAANI. USIJIFANYE UNAJUA KILA KITU MPE MTU MAWAZO KWA BIASHARA UNAYOIFAHAMU AMBAYO UMEIFANYA. SIO KUANDIKA ANDIKA TU.
 
Mkuu uza bangi yaani uwe pusha, puli moja la bongo shit ni 3k linatoa kete 20-25 ukiwa na kijiwe chako kizuri unaweza kuuza mapuli hadi 10-15 kwa siku, kete moja ni sh 500 kwa puli moja minimum utatoa 10000 ukiuza mapuli 10 kwa siku minimum utapata 100000 toa gharama za rizla, kali na mapuli 30000 unabaki na 70000, ukimlipa kijana anayebaki maskani kwa siku 10000 unabaki na 60000 take home sasa ukiwa na vitatu kwa siku hukosi 200000 take home, hapa nimeongelea bongo shit peke yake ukiweka na skunk kila gram unauza 2000 kwa siku unaweza kuuza hadi gram 50-100 ni pesa nzuri, muhimu ujenge connection kutuo cha polisi kilicho karibu na kijiwe chako, uwe na namba ya ocs na mkuu wa kituo bila kusahau namba za madereva wa difenda, utafanya biashara yako kwa amani kabisa, bangi sio kosa ni ukoloni tu na upumbavu, watu wanawateja wao hadi state House na wanaishi kama kawa, huu ni ushauri from experience japo kwa sasa sipo kweye line hiyo.
Kuna brother kitaani kwenu ana maisha ana pesa kinoma,anauza bangi ni mkuriya ana roho mbaya kinyama yaani kukukata panga ukizingua kwake ni sawa na kunywa maji tu.

Huyu brother anajuana na ma askari wa kituo cha kati wanakuja huku kitaa na wanaongea nae vzr bila kumkamata
 
We Bana Kula Kulala Tu, Hustle Za Mtaa Unazijua Wap ?? Mahali nimekuona boya eti hesabu ya uber / bolt kwa siku ni 15k ?? Daaah

Wewe hata facts zako zina prove kabisa hujai jitaftia hela mtaani hujui chochote……ninge kuona wa maana unge lay facts hapa 1,2,3 watu wa challenge.

Kwa taarifa yako zipo company za wachina hapa bongo wanawapa vijana gari za kufanya hzo hzo uber / bolt kwa makubaliano flani ma mia ya vijana wana register kufanya nao kazi…..sasa na wao sijui hesabu yao ni 15k per day au vp ?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

N!gg@ Please [emoji1787][emoji38][emoji1787]
Ww unaemuita mwenzako kula kulala nina uhakika ni mtoto wa mama au toto la chuo halijawai kupambana.

Biashara ya uber kwasasa sio biashara,acha kumdanganya mwenzako kwa kuskia stor za kijinga zisizo na uhalisia kwasasa
 
Kaka utajiri wakupindukia nikufanya biashara ambayo kilamtu anaihofia kufanya, akidhan kwamba itamtia hasara kubwa sana..binafsi naamin hvo, nandio hvo matajiri wanakua wachache dunian maskin wengi..
binafsi nakwama sijapata mtaji.
 
Endelea kudanganya watu humu kwamba biashara ya uber inalipa. Ngoja nikupe elimu mtoto wa mama wa kuskiliza story za vijiweni na kutuletea hapa. Two years back gari ya mkataba kwa wiki ilikuwa 150,000-180,000 service kila kitu juu ya Dereva baada ya miaka miwili gari linakuwa la Dereva na wahindi walikuwa wanakopesha viajana magari. Hii hesabu ilikuwa vijana kibao wanashindwa wanajikuta wanarudisha magari au wananyang’anywa kwa kufeli kupeleka hesabu kwa wakati. Pili gari isiyokuwa ya mkataba ilikuwa hesabu kwa wiki ni 100,000-120,000 kwa wiki service matengenezo ya gari ilkuwa juu ya boss. Pia hapa viajana wengi walinyng’anywa magari kwa kushindwa/kufeli kupelekea hesabu kwa wakati. Vijana wengi waliuza masega ya hizi gari pamoja na hata spare parts au taili ili kupeleka hesabu kwa boss. Kijana unamkuta anaendesha gari inakaribia siku ya hesabu Hela alonayo mkononi haileweki mwisho wa siku wanaenda mpaka kukopa Hela kwenye familia zao ili wapeleke hesabu. Kijana unamkuta anaendesha uber harudi kwao siku mbili tatu mpaka nne anakesha kutafuta hesabu, unaingia kwenye gari unakutana na dereva ananuka hajaoga siku mbili tatu. Kuna kipindi madereva wakaandamana sana pale Leaders mpaka ofisi za Latra kusinikiza uber/bolt wapunguze makato (commission) kwani madereva hawapati kitu na migomo hii ilifanyika Mara nyingi tu mpaka hata uber wakaondoa magari wakabaki kwenye Bodaboda baada ya kulazimishwa na Latra wapunguze commission inamana wewe vyote hivi hukuvisikia?au ulikuwa kwenu kijijini? Kijana kaomba ushauri ana milion10 anataka wazo la biashara ambalo litamtoa kimaisha wewe unamletea habari za uber na bolt!! Angalia sasaiv kuna bajaji ngapi zipo kwenye huo mfumo? Zote zimejitoa kwakuwa hawapati kitu wameamua kurudi vijiweni. Sasaivi vijiwe vya bajaji wanalipia mpaka laki 5 kujiunga. SIKU NYINGINE UKOME KULETA STORY STORY ZA KUSIKIA MTAANI. USIJIFANYE UNAJUA KILA KITU MPE MTU MAWAZO KWA BIASHARA UNAYOIFAHAMU AMBAYO UMEIFANYA. SIO KUANDIKA ANDIKA TU.

NONSENSE
 
Kuna brother kitaani kwenu ana maisha ana pesa kinoma,anauza bangi ni mkuriya ana roho mbaya kinyama yaani kukukata panga ukizingua kwake ni sawa na kunywa maji tu.

Huyu brother anajuana na ma askari wa kituo cha kati wanakuja huku kitaa na wanaongea nae vzr bila kumkamata
Watu wanalipia dambwe kila mkuu wa kituo, mkuu wa upelelezi au incharge wa difenda anakua na reli yake kwenye vijiwe kadhaa, pale posta jirani na mambo ya ndani juu kabisa kuna kijiwe ukifika kama mgeni unaweza kutoka nduki maana nguo na sura utazozikuta wote namba na dawa inaliwa full-time
 
NONSENSE
We Bana Kula Kulala Tu, Hustle Za Mtaa Unazijua Wap ?? Mahali nimekuona boya eti hesabu ya uber / bolt kwa siku ni 15k ?? Daaah

Wewe hata facts zako zina prove kabisa hujai jitaftia hela mtaani hujui chochote……ninge kuona wa maana unge lay facts hapa 1,2,3 watu wa challenge.

Kwa taarifa yako zipo company za wachina hapa bongo wanawapa vijana gari za kufanya hzo hzo uber / bolt kwa makubaliano flani ma mia ya vijana wana register kufanya nao kazi…..sasa na wao sijui hesabu yao ni 15k per day au vp ?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

N!gg@ Please [emoji1787][emoji38][emoji1787]
 
Ukifungua duka, sijui mgahawa, sijui pub sijui banda la chips, sijui duka la nguo nakuapia utapoteza hyo hela. Mapemaa Saa 2 Asubuhi.

All u need ni shughuli ya kufanya na kuisimamia wewe mwenyewe ambae 100% utakua una deal nayo chances ukipata 10 M nyingine mara mbili yake tena about 20 M kama hyo ndio utaitumia kufungua biashara nlizotaja hapo mwanzo tena kwa kuangalia na mazingira kwa umakini otherwise uta lost big tym my friend.

Been There Done That, For now usifanye biashara Ambayo Utahitaji Kuajiri Watu Wakusaidie Maana Hao Ndio Pasua Kichwa Watakupiga na Kukuliza, Atleast Not For Now (Kuza Kwanza Mtaji Wewe Mwenyewe) Utapata uzoefu na kujifunza mengi sanaa, Hela Ina Codes Nyingi Sana Mkuu Hasa Mtaani.

USHAURI:
Nunua Bajaj / Gari Used not more that 7 M nyingine save for emergency purposes. Register chombo uber / bolt ingia kazini huku una piga mishe za udalali mbili tatu. Utastirika Sana, Biashara zenye nature ya logistics ndio zinazo waweka sana watu mjini iwe bajaj, uber, pick up, canter, fuso yani hizi japo ni challenge ila atleast mostly kama una deal nazo wewe mwenyewe first hand.

Utanishkuru Baadae.
Hili ni wazo zuri sana kwa mtu asiyeajiriwa. Kwa walioajiriwa wanawezaje kufanya hii biashara? Maana muda unawabana
 
Haijalishi wewe ni muislam au msabato nenda mbeya/Kilimanjaro kanunue nguruwe wazima wasafirishe mpaka dar fungua vijiwe viwili anza kuuza,dar kg ya nguruwe ni 12k-15k kutegemea na location sasa wewe usiuze bei hiyo uza kg 9k tu halafu tafuta mpishi mzuri
Ndani ya miezi 6 utaleta majibu
Hii tamu. Mtaji kiasi gani mkuu
 
We Bana Kula Kulala Tu, Hustle Za Mtaa Unazijua Wap ?? Mahali nimekuona boya eti hesabu ya uber / bolt kwa siku ni 15k ?? Daaah

Wewe hata facts zako zina prove kabisa hujai jitaftia hela mtaani hujui chochote……ninge kuona wa maana unge lay facts hapa 1,2,3 watu wa challenge.

Kwa taarifa yako zipo company za wachina hapa bongo wanawapa vijana gari za kufanya hzo hzo uber / bolt kwa makubaliano flani ma mia ya vijana wana register kufanya nao kazi…..sasa na wao sijui hesabu yao ni 15k per day au vp ?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

N!gg@ Please [emoji1787][emoji38][emoji1787]
Aisee wapi huko wanatoa gari hizo na mie nikapige kazi nitokane na ujobless na pia nikutane na pisi kali?
 
Mkuu nimekupata vyema kabisa changamoto udalali ninabangaiza mpaka kufikia kiasi nilichopat ni issue ya kudamka asubuhi na kurudi jioni au usiku kabsa na ni lazima kila siku,, mapumziko yangu angalau j2 so naweza jiunga na Uber mkuu Kwa muda huo mchache nilio nao.
Muda ulionao ni mchache sana, kwa mazingira hayo ni afadhali ukatafuta fursa hapo hapo maeneo ya shughuli zako ili uweze kusimamia. La sivyo uache kazi ili ufanye kazi
 
Ukifungua duka, sijui mgahawa, sijui pub sijui banda la chips, sijui duka la nguo nakuapia utapoteza hyo hela. Mapemaa Saa 2 Asubuhi.

All u need ni shughuli ya kufanya na kuisimamia wewe mwenyewe ambae 100% utakua una deal nayo chances ukipata 10 M nyingine mara mbili yake tena about 20 M kama hyo ndio utaitumia kufungua biashara nlizotaja hapo mwanzo tena kwa kuangalia na mazingira kwa umakini otherwise uta lost big tym my friend.

Been There Done That, For now usifanye biashara Ambayo Utahitaji Kuajiri Watu Wakusaidie Maana Hao Ndio Pasua Kichwa Watakupiga na Kukuliza, Atleast Not For Now (Kuza Kwanza Mtaji Wewe Mwenyewe) Utapata uzoefu na kujifunza mengi sanaa, Hela Ina Codes Nyingi Sana Mkuu Hasa Mtaani.

USHAURI:

Nunua Bajaj / Gari Used not more that 7 M nyingine save for emergency purposes. Register chombo uber / bolt ingia kazini huku una piga mishe za udalali mbili tatu. Utastirika Sana, Biashara zenye nature ya logistics ndio zinazo waweka sana watu mjini iwe bajaj, uber, pick up, canter, fuso yani hizi japo ni challenge ila atleast mostly kama una deal nazo wewe mwenyewe first hand.

Utanishkuru Baadae.
Naunga mkono

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa unam
Employed / Self Employed ??

Muda wako umekaaje, can u devote atleast 8 - 10 hours a day on your business ??

Mfano mi ukinipa hyo natafuta canter used (box body) au canter ya mizigo hizi za tonne 2 engine 4D33….used najua naweza ipata kwa 9 - 12 M naiweka sawa na kuinyoosha kwa kama 3 M hivi jumla 15 M….naanza nayo kubeba mizgo ya watu ya samaki kupeleka airport kusafirishwa…..(and other stocks as well)

Yani inshort deal na logistics kuna madeal mengi yatafunguka hasa ukiwa na mtaji mkononi wa kununua bidhaa flani ambazo unajua nikitoa point A nikipeleka point B kuuzwa mzigo haukai iwe vifaa vya hardware, sijui vyakula sijui stock za madukani yani huwezi kosa ma deal hasa kama una capital na kumbuka hata kubeba stocks za watu wengine kuna mambo na siri zao za trading utasanuka tu na kupata margins flan ukiwa serious (mwishowe yale yale michezo ya wholesale biz techniques).

Yes kwa kuanza gari endesha mwenyewe.

Employed / Self Employed ??

Muda wako umekaaje, can u devote atleast 8 - 10 hours a day on your business ??

Mfano mi ukinipa hyo natafuta canter used (box body) au canter ya mizigo hizi za tonne 2 engine 4D33….used najua naweza ipata kwa 9 - 12 M naiweka sawa na kuinyoosha kwa kama 3 M hivi jumla 15 M….naanza nayo kubeba mizgo ya watu ya samaki kupeleka airport kusafirishwa…..(and other stocks as well)

Yani inshort deal na logistics kuna madeal mengi yatafunguka hasa ukiwa na mtaji mkononi wa kununua bidhaa flani ambazo unajua nikitoa point A nikipeleka point B kuuzwa mzigo haukai iwe vifaa vya hardware, sijui vyakula sijui stock za madukani yani huwezi kosa ma deal hasa kama una capital na kumbuka hata kubeba stocks za watu wengine kuna mambo na siri zao za trading utasanuka tu na kupata margins flan ukiwa serious (mwishowe yale yale michezo ya wholesale biz techniques).

Yes kwa kuanza gari endesha mwenyewe.
Jamaa unamadini sana hasa ya mapambano ya mtaani huku
 
Na
Acha Kaka Basi Tu Vile Nimeweka Kwa Ufupi Sanaa….Msoto Wa Kitaa Sio Poa…..Lazima Uwe Na Roho Ngumu Na Ujasiri Ku Make It.
Kuelewa sana hasa kwenye hivi vyombo vya moto cos hata mimi nimefanya kwa sehemu. Ukiwa na nidhamu unafanikiwa.
 
Back
Top Bottom