Money Bags
Senior Member
- Jun 22, 2012
- 154
- 716
Acha kumdanganya mwenzako biashara ya uber inalipa wewe huijui na hujawahi kuifanya. Uber nimefanya two years na kwakutumia Gari na hakuna nilichopata zaid ya kuumiza gari. Kwanza wabongo mlivyo na roho za kukunjiana huwa hamsemi ukweli siri za mafanikio yenu/kuelezea biashara zenu namna mlivyo anza njia mlizopitia mpaka kukuza mitaji kuwa mikubwa. Wengi wenu mkiombwa ushauri wa baishara mnaishia tu kusema“Kuna jamaa anapiga pesa alianza na kirukuu ya kukodi sasaivi ameshanunua zake nne na mwezi ujao anavuta Fuso” STUPID!! biashara zenu binafsi mnazozifanya au zilizowatoa huwa hamzisemi. Bla bla tu na kujifanya mna ideas nyingi vichwani kumbe wachawi tu.
We Bana Kula Kulala Tu, Hustle Za Mtaa Unazijua Wap ?? Mahali nimekuona boya eti hesabu ya uber / bolt kwa siku ni 15k ?? Daaah
Wewe hata facts zako zina prove kabisa hujai jitaftia hela mtaani hujui chochote……ninge kuona wa maana unge lay facts hapa 1,2,3 watu wa challenge.
Kwa taarifa yako zipo company za wachina hapa bongo wanawapa vijana gari za kufanya hzo hzo uber / bolt kwa makubaliano flani ma mia ya vijana wana register kufanya nao kazi…..sasa na wao sijui hesabu yao ni 15k per day au vp ?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
N!gg@ Please [emoji1787][emoji38][emoji1787]