Biashara gani itanitoa kimaisha niepukane na umasikini?

Biashara gani itanitoa kimaisha niepukane na umasikini?

Employed / Self Employed ??

Muda wako umekaaje, can u devote atleast 8 - 10 hours a day on your business ??

Mfano mi ukinipa hyo natafuta canter used (box body) au canter ya mizigo hizi za tonne 2 engine 4D33….used najua naweza ipata kwa 9 - 12 M naiweka sawa na kuinyoosha kwa kama 3 M hivi jumla 15 M….naanza nayo kubeba mizgo ya watu ya samaki kupeleka airport kusafirishwa…..(and other stocks as well)

Yani inshort deal na logistics kuna madeal mengi yatafunguka hasa ukiwa na mtaji mkononi wa kununua bidhaa flani ambazo unajua nikitoa point A nikipeleka point B kuuzwa mzigo haukai iwe vifaa vya hardware, sijui vyakula sijui stock za madukani yani huwezi kosa ma deal hasa kama una capital na kumbuka hata kubeba stocks za watu wengine kuna mambo na siri zao za trading utasanuka tu na kupata margins flan ukiwa serious (mwishowe yale yale michezo ya wholesale biz techniques).

Yes kwa kuanza gari endesha mwenyewe.
Ulicho ongea ni kweli mnooo. Kuna jamaa mmoja kaenda kwa wakala mkuu wa gas y kupikia orex kampuni ni copa gas kisha kanunua vikirikuu vingi kinoma ananunua gas kwa copa gas kisha yy ndio anaingia kuwa uzia mawakala wadogo anakimbiza balaaa.
Mpk copa gas wakala mkuu kamwachia baadhi ya maeneo jamaa awe anauza yy tu.Na mwisho w mwaka copa gas anampatia jamaa commission a lot of money. Kwakua ni mteja wake mkubwa. Ss nasikia jamaa anatafta Canter kuongeza mauzo yake kutoka vikirikuu.
 
Mimi nina rafiki yangu alifungua phamarcy kubwa tu tegeta karibu na rabinsinsia stock worth almost 25 M achilia mbali equipments, pc, shelves, rent, mishahara na mengine….hakutoboa miaka 2 akafunga na mkewe ni phamarcist, yani cases ni nyingi sana.

What people don’t know is that wanashindwa calculate estimates za profit margins vizuri + turnovers ambazo ndio za kuja ku cover business obligations na hyo tena ni mpaka mtu uuze sasa imagine mtu kalaza stock ya 25 M mpaka auze ndio aone profit. Wengi wanao toboa town hawategemei retail profits pekee unakuta pia ni whole salers mtu ku flip stock ya 15 M in hours ni kawaida sana kwa wholesale buyers achilia mbali supplies labda uwe na laboratory services hapo hapo…still inawezekana ila ni ujipange sanaa.

Tafuta simple means za ku build capital moja wapo hyo njia nliokuambia then ingia biashara ya kununua na kuuza fixed assets i.e. viwanja, magari etc hizi stocks ndogo ndogo yani labda uje umiliki 70+ M huko tena iwe target yako ni wholesale, kuwa na subra na have determination with your goals and savings.

Sasa wenzako wanaendesha bajaj au uber kwa siku mtu hakosi 40k - 60k net profit kashatoa mafuta…..mwisho wa mwezi ni nyingi sana ukitoa service and parts bado hela inabaki nzuri tu. Sasa wafate hawa biashara za maduka sijui nn follow all the principles uone kama utafunga 500K net profit kwa mwezi. We mpakaa uuze vitu dukani viishe ubadili stock mara kadhaa ndio ikulipe unafanya mchezo nn na hapo ni headache kibao.

Well Ni Mtazamo Wangu Wa Dhati From My Real Experience, Unaweza Upuuza Lakini.
Very bold.
 
You've what it takes to be successful trader.
Nna million 19 hadi sasa tangu mwezi mwaka jana bado sijajua kitu cha kufanya au product ya kuuza. Pesa nilizipata sehemu fasta though nna background ya biashara eventhough ni season business.

Can you advise what to do?
Location wise kwa sasa niko Mwanza?
Fungua Bekary Kiwanda Cha mikate Na Uzoefu Kwenye Hili Tunaweza Kushirikiana
 
Mimi nina rafiki yangu alifungua phamarcy kubwa tu tegeta karibu na rabinsinsia stock worth almost 25 M achilia mbali equipments, pc, shelves, rent, mishahara na mengine….hakutoboa miaka 2 akafunga na mkewe ni phamarcist, yani cases ni nyingi sana.

What people don’t know is that wanashindwa calculate estimates za profit margins vizuri + turnovers ambazo ndio za kuja ku cover business obligations na hyo tena ni mpaka mtu uuze sasa imagine mtu kalaza stock ya 25 M mpaka auze ndio aone profit. Wengi wanao toboa town hawategemei retail profits pekee unakuta pia ni whole salers mtu ku flip stock ya 15 M in hours ni kawaida sana kwa wholesale buyers achilia mbali supplies labda uwe na laboratory services hapo hapo…still inawezekana ila ni ujipange sanaa.

Tafuta simple means za ku build capital moja wapo hyo njia nliokuambia then ingia biashara ya kununua na kuuza fixed assets i.e. viwanja, magari etc hizi stocks ndogo ndogo yani labda uje umiliki 70+ M huko tena iwe target yako ni wholesale, kuwa na subra na have determination with your goals and savings.

Sasa wenzako wanaendesha bajaj au uber kwa siku mtu hakosi 40k - 60k net profit kashatoa mafuta…..mwisho wa mwezi ni nyingi sana ukitoa service and parts bado hela inabaki nzuri tu. Sasa wafate hawa biashara za maduka sijui nn follow all the principles uone kama utafunga 500K net profit kwa mwezi. We mpakaa uuze vitu dukani viishe ubadili stock mara kadhaa ndio ikulipe unafanya mchezo nn na hapo ni headache kibao.

Well Ni Mtazamo Wangu Wa Dhati From My Real Experience, Unaweza Upuuza Lakini.
Ushauri mzuri sana huu mkuu
 
Employed / Self Employed ??

Muda wako umekaaje, can u devote atleast 8 - 10 hours a day on your business ??

Mfano mi ukinipa hyo natafuta canter used (box body) au canter ya mizigo hizi za tonne 2 engine 4D33….used najua naweza ipata kwa 9 - 12 M naiweka sawa na kuinyoosha kwa kama 3 M hivi jumla 15 M….naanza nayo kubeba mizgo ya watu ya samaki kupeleka airport kusafirishwa…..(and other stocks as well)

Yani inshort deal na logistics kuna madeal mengi yatafunguka hasa ukiwa na mtaji mkononi wa kununua bidhaa flani ambazo unajua nikitoa point A nikipeleka point B kuuzwa mzigo haukai iwe vifaa vya hardware, sijui vyakula sijui stock za madukani yani huwezi kosa ma deal hasa kama una capital na kumbuka hata kubeba stocks za watu wengine kuna mambo na siri zao za trading utasanuka tu na kupata margins flan ukiwa serious (mwishowe yale yale michezo ya wholesale biz techniques).

Yes kwa kuanza gari endesha mwenyewe.
Asante, mkuu Kwa idea but nazan nikikubaliana na hilo yanipasa nipate balance zaidi ya hiii niliyonayo ili niweze fanikisha tofaut na hapo nitaishia njiani mkuu
 
Asante, mkuu Kwa idea but nazan nikikubaliana na hilo yanipasa nipate balance zaidi ya hiii niliyonayo ili niweze fanikisha tofaut na hapo nitaishia njiani mkuu

Wewe anza na logistics kwa level yako ya mtaji yani gari used iwe ist au vitz / bajaj….Then innovate on the same direction as the capital grows. Following the steps i adviced you….on my earlier posts.

Mimi naamini utafanikiwa na kuna siku utakuja kubali nimekushauri kitu sahihi, mimi nimepita huko sitaki upoteze hela kwa unpromissing ventures hela yenyewe ukiipoteza ku i remake ni utapasuka haswa.

Huezi kosa hela daily from logistics nature of business hasa hizi bajaj sijui uber kitu ambacho kitakutuliza akili ya kutafuta mishe za hela za mbio ndefu. Utakula, Utavaa, Utaishi sehem kdgo yenye staha na heshima mjini hapa utakuwa nayo huku malengo yako yakiwa ni ya mbali ila kwa mrengo huo huo.
 
Mimi nina rafiki yangu alifungua phamarcy kubwa tu tegeta karibu na rabinsinsia stock worth almost 25 M achilia mbali equipments, pc, shelves, rent, mishahara na mengine….hakutoboa miaka 2 akafunga na mkewe ni phamarcist, yani cases ni nyingi sana.

What people don’t know is that wanashindwa calculate estimates za profit margins vizuri + turnovers ambazo ndio za kuja ku cover business obligations na hyo tena ni mpaka mtu uuze sasa imagine mtu kalaza stock ya 25 M mpaka auze ndio aone profit. Wengi wanao toboa town hawategemei retail profits pekee unakuta pia ni whole salers mtu ku flip stock ya 15 M in hours ni kawaida sana kwa wholesale buyers achilia mbali supplies labda uwe na laboratory services hapo hapo…still inawezekana ila ni ujipange sanaa.

Tafuta simple means za ku build capital moja wapo hyo njia nliokuambia then ingia biashara ya kununua na kuuza fixed assets i.e. viwanja, magari etc hizi stocks ndogo ndogo yani labda uje umiliki 70+ M huko tena iwe target yako ni wholesale, kuwa na subra na have determination with your goals and savings.

Sasa wenzako wanaendesha bajaj au uber kwa siku mtu hakosi 40k - 60k net profit kashatoa mafuta…..mwisho wa mwezi ni nyingi sana ukitoa service and parts bado hela inabaki nzuri tu. Sasa wafate hawa biashara za maduka sijui nn follow all the principles uone kama utafunga 500K net profit kwa mwezi. We mpakaa uuze vitu dukani viishe ubadili stock mara kadhaa ndio ikulipe unafanya mchezo nn na hapo ni headache kibao.

Well Ni Mtazamo Wangu Wa Dhati From My Real Experience, Unaweza Upuuza Lakini.

Kwa kufanya Biashara ya uber hicho kitu napingana na wewe mkuu. Sasaivi biashara ya uber haina hela hiyo hesabu uloisema Sijui 40k-60k ni uwongo. Hiyo hesabu labda unaweza kuipata kipindi cha weekend ijumaa na jmosi tena kwa kukesha na sio guarantee. Biashara tax mtandao gari zimekuwa nyingi mno requests ni chache kuna kipindi madereva wanakosa hata mafuta ya kurudi na gari majumbani kwao wana yapaki mjini wanakula daladala kesho anarudi kulifata gari. Kwakuwa gari litakuwa lake atakuwa na uhakika tu wa kupata Hela ya kula elfu10-15 kwa siku huku mtaji wake wa milion10 ukiwa salama kwakuwa atakuwa kautia kwenye gari ili siku yoyote akiona namna gani haelewi analiuza gari.
 
Wakuu, ni matumaini yangu wazima wa afya,

Nijikite Moja Kwa Moja kwenye mada husika. Naomba msaada juu ya biashara gani naweza fanya nikajikwamua katika hali ya chini.

Moja ktk harakati za utafutaji (Udalali), nimebahatika kufikia kiasi kadhaa Cha fedha 10M, changamoto ninayopitia mpaka sasa nimeshindwa kuiendeleza kutokana na kuwa sijajua nifanye biashara gani itakayo zalisha pesa kwa uharaka na bila maumivu makali.

Nimejaribu fatilia baadhi ya wafanyabiashara wamekuwa wakilalamikia suala la tozo kuwa nyingi kwenye shughuli zao lakini pia haitoshi nikajaribi ingia kwenye kilimo jambo ambalo linahitaji muda wa ziada na utayari wa chochote ktk kuvuna au kupata hasara.

Natamani sana kufanya biashara na ni ndoto niliyokuwa nayo katika maisha yangu naomba maoni yenu, msaada, connection na elimu pia juu ya biashara.

#MEK
Brother mimi nakushauri usianze kitu kipya kabisa usichokijua, jaribu kujiendeleza kwenye kitu ambacho unauzoefu nacho ambacho kimekuwezesha mpaka kuweza kufikisha hiyo milioni 10.

Kama wewe ulikua unafanya kazi ya udalali, basi jaribu kuifanya kwa ubora zaidi hiyo kazi yako, hii na maanisha kwa jaribu kuifanya ukiwa kwa usasa zaidi ukilenga aina flani ya wateja, ambao unaamini wanaweza kuongeza pato lako.

Kwa kuanzia, anza kwa kufanya ya fuatayo:-
1. Tafuta vibali na Leseni ili kuweza kuifanya kazi yako kisheria.
2. Tafuta ofisi rasmi ambayo itakuwa inajulikana na muda wote mteja ukimwelekeza basi ataweza kukufikia.
3. Ongeza circle ya connection ya madalali wanaofanya kazi kama yako.
4. Jaribu kulenga aina ya kazi/ vitu vya udalali unavyolenga ku specialize, yanai kama ni dalali wa majengo, vyumba, , magodown, mashamba na nk, au dalali magari, (Kikubwa hapa jaribu kuwa umelenga vitu flani)
5. Ongeza juhudi katika kujitangaza na kutafuta wateja ambao unaamini wataongeza kipato, kama mwanzo ulikua una wateja wa kuwasubiri mtaani, basi sasa anza kwa kuwatafuta wateja wakubwa zaidi kama makampuni, wafanyabiashara wakubwa na n.k
6. Tengeneza kanuni ambazo zitakutofautisha kazi yako ya udalali na madalali wengine ambao wapo mtaani, mfano uongo, kuweka bei kubwa ya juu, kutokuwa na uaminifu na n.k
7. Jipe muda katika kuendesha biashara yako kabla ya kuanza kuona faida, usitegemee faida ya haraka.
8. Tengeneza connection na watu wenye uelewa zaidi wanao husiana moja kwa moja na biashara yako kama Mawakili na wanasheria; Land officers, ma ofisa wa TRA, Polisi n.k (Hawa watakusaidia kwenye kazi zako za kila siku kama kuandaa mikataba, ushauri wa kuhus maswala ya kodi kwako na kwa mteja wako.
9. Fuatilia na kuwa na nidhamu ya kila pesa inayoingia na kutoka kwenye ofisi yako.
10. Fanya kazi kwa bidii na mtangulize Mungu katika kila hatua unayofanya katika kazi yako.

Yangu ni hayo nikiwa kama mtafutaji mwenzako wa kitaa.

AU Ukionashida kwenye yote kabisa tuite tuweke heshima Bar
 
Nimekupata sana ndugu na nimekuelewa vema sana Asante kwa ushauri.
Brother mimi nakushauri usianze kitu kipya kabisa usichokijua, jaribu kujiendeleza kwenye kitu ambacho unauzoefu nacho ambacho kimekuwezesha mpaka kuweza kufikisha hiyo milioni 10.

Kama wewe ulikua unafanya kazi ya udalali, basi jaribu kuifanya kwa ubora zaidi hiyo kazi yako, hii na maanisha kwa jaribu kuifanya ukiwa kwa usasa zaidi ukilenga aina flani ya wateja, ambao unaamini wanaweza kuongeza pato lako.

Kwa kuanzia, anza kwa kufanya ya fuatayo:-
1. Tafuta vibali na Leseni ili kuweza kuifanya kazi yako kisheria.
2. Tafuta ofisi rasmi ambayo itakuwa inajulikana na muda wote mteja ukimwelekeza basi ataweza kukufikia.
3. Ongeza circle ya connection ya madalali wanaofanya kazi kama yako.
4. Jaribu kulenga aina ya kazi/ vitu vya udalali unavyolenga ku specialize, yanai kama ni dalali wa majengo, vyumba, , magodown, mashamba na nk, au dalali magari, (Kikubwa hapa jaribu kuwa umelenga vitu flani)
5. Ongeza juhudi katika kujitangaza na kutafuta wateja ambao unaamini wataongeza kipato, kama mwanzo ulikua una wateja wa kuwasubiri mtaani, basi sasa anza kwa kuwatafuta wateja wakubwa zaidi kama makampuni, wafanyabiashara wakubwa na n.k
6. Tengeneza kanuni ambazo zitakutofautisha kazi yako ya udalali na madalali wengine ambao wapo mtaani, mfano uongo, kuweka bei kubwa ya juu, kutokuwa na uaminifu na n.k
7. Jipe muda katika kuendesha biashara yako kabla ya kuanza kuona faida, usitegemee faida ya haraka.
8. Tengeneza connection na watu wenye uelewa zaidi wanao husiana moja kwa moja na biashara yako kama Mawakili na wanasheria; Land officers, ma ofisa wa TRA, Polisi n.k (Hawa watakusaidia kwenye kazi zako za kila siku kama kuandaa mikataba, ushauri wa kuhus maswala ya kodi kwako na kwa mteja wako.
9. Fuatilia na kuwa na nidhamu ya kila pesa inayoingia na kutoka kwenye ofisi yako.
10. Fanya kazi kwa bidii na mtangulize Mungu katika kila hatua unayofanya katika kazi yako.

Yangu ni hayo nikiwa kama mtafutaji mwenzako wa kitaa.

AU Ukionashida kwenye yote kabisa tuite tuweke heshima Bar
 
Dalali unamiliki milion 10 umeshindwa hata kununua shamba ukate viwanja vidogo vidogo kisha utumie udalali wako uuze kwa faida???????

Ama kweli penye miti wajenzi hakuna!!!!!!!

Sent from my OPPO R11s using JamiiForums mobile app
Hili wazo na mimi nilikuwa nataka nimpe,ila nikaona watu watasema mtaji mdogo,lkn hiyo Hela ni nyingi anaweza akachukua eneo akalikata viwanja vya laki nanenane au 1m ili viende haraka na maisha yakaendelea
 
Kwa kufanya Biashara ya uber hicho kitu napingana na wewe mkuu. Sasaivi biashara ya uber haina hela hiyo hesabu uloisema Sijui 40k-60k ni uwongo. Hiyo hesabu labda unaweza kuipata kipindi cha weekend ijumaa na jmosi tena kwa kukesha na sio guarantee. Biashara tax mtandao gari zimekuwa nyingi mno requests ni chache kuna kipindi madereva wanakosa hata mafuta ya kurudi na gari majumbani kwao wana yapaki mjini wanakula daladala kesho anarudi kulifata gari. Kwakuwa gari litakuwa lake atakuwa na uhakika tu wa kupata Hela ya kula elfu10-15 kwa siku huku mtaji wake wa milion10 ukiwa salama kwakuwa atakuwa kautia kwenye gari ili siku yoyote akiona namna gani haelewi analiuza gari.

NONSENSE
 

Acha kumdanganya mwenzako biashara ya uber inalipa wewe huijui na hujawahi kuifanya. Uber nimefanya two years na kwakutumia Gari na hakuna nilichopata zaid ya kuumiza gari. Kwanza wabongo mlivyo na roho za kukunjiana huwa hamsemi ukweli siri za mafanikio yenu/kuelezea biashara zenu namna mlivyo anza njia mlizopitia mpaka kukuza mitaji kuwa mikubwa. Wengi wenu mkiombwa ushauri wa baishara mnaishia tu kusema“Kuna jamaa anapiga pesa alianza na kirukuu ya kukodi sasaivi ameshanunua zake nne na mwezi ujao anavuta Fuso” STUPID!! biashara zenu binafsi mnazozifanya au zilizowatoa huwa hamzisemi. Bla bla tu na kujifanya mna ideas nyingi vichwani kumbe wachawi tu.
 
Back
Top Bottom