Biashara gani naweza kufanya kwa Milioni 10-18? Msaada Please


Mkuu hizi bonds wanaziuza kila siku au kuna muda wake maalumu?
 
Ndio hizo bond wanazo ziuza kila siku .. tena wanatoa mbka kwenye gazeti .. unajua bond ipo tofaut na fixed deposit ..
Bond inakua na interest kubwa na ni kipindi bank wanahitaji hela yako kwajili ya kazi zao .. fixed deposit interest yake inakuaga 4%
 
Bond inakua na interest kubwa na ni kipindi bank wanahitaji hela yako kwajili ya kazi zao .. fixed deposit interest yake inakuaga 4%
Bob mie cjawahi kuona biashara una enjoy profit kma hiyo .. huna headache
 
Interest 13% si kwa mwaka?
 
Tulia kipindi hiki kigumu watu wametulia....kapige hiyo ya benki jamaa anashauri au nunua hisa au kalime matunda yanalipa matikiti kodi shamba hudhuria semina. Inahitaj uvumilivu na utulivu sana
 

Mkuu, this is too good to be true! Sidhani kama umelielezea hili kwa usahihi. Interest rate haiwezi kuwa 13% kwa mwezi; it must be 13% per annum. Kwa maneno mengine, hakuna taasisi ya kifedha Tanzania inayoweza kukulipa riba ya takribani 156% kwa mwaka ilhali yenyewe inaweza kuikopesha kwingine hiyo hela kwa riba ya only 16% - 20% kwa mwaka.
 
Great idea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…