Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Yah unaweza .. mie ndio kitu nachokifanya .. kama mwezi ukiopita nilinunua bond ya 10 million na naenjoy profit ya 1.3 million ya kila mwezi .. wanakua wanakupa interest .. ila hiyo interest unapewa kila after 6 month .. yani 1.3 zidisha mara miez sita .. mbna zipi biashara ambazo hupati hasara .. na wala haitaji unahangaika ..
Ndio hizo bond wanazo ziuza kila siku .. tena wanatoa mbka kwenye gazeti .. unajua bond ipo tofaut na fixed deposit ..Mkuu hizi bonds wanaziuza kila siku au kuna muda wake maalumu?
Bond inakua na interest kubwa na ni kipindi bank wanahitaji hela yako kwajili ya kazi zao .. fixed deposit interest yake inakuaga 4%Ndio hizo bond wanazo ziuza kila siku .. tena wanatoa mbka kwenye gazeti .. unajua bond ipo tofaut na fixed deposit ..
Bob mie cjawahi kuona biashara una enjoy profit kma hiyo .. huna headacheBond inakua na interest kubwa na ni kipindi bank wanahitaji hela yako kwajili ya kazi zao .. fixed deposit interest yake inakuaga 4%
Bond inakua na interest kubwa na ni kipindi bank wanahitaji hela yako kwajili ya kazi zao .. fixed deposit interest yake inakuaga 4%
Yah kumbe ushaisoma .. unajua watu hawapendi kufatilia hizi biashara za mabank .. mtu unapata capital unawaza kufuga kuku .. mwisho wake wanakufa na unafilisika kabisa ..Shukurani sana Mkuu,hii biashara matajiri wa Dunia washaifanya ikawatoa na bado wanaendelea nayo mfano ni Warren Buffet.
Interest 13% si kwa mwaka?Yah unaweza .. mie ndio kitu nachokifanya .. kama mwezi ukiopita nilinunua bond ya 10 million na naenjoy profit ya 1.3 million ya kila mwezi .. wanakua wanakupa interest .. ila hiyo interest unapewa kila after 6 month .. yani 1.3 zidisha mara miez sita .. mbna zipi biashara ambazo hupati hasara .. na wala haitaji unahangaika ..
Bond unaanza kununua kwazia laki 5 ..Kwaiyo hao nmb wanachukua kuanzia mil 10 tu?. Ukiwa na pungufu vipi unaweza kuwekeza?
Yani bond zinaanza kuuzwa kwa kiac cha chini kabisa laki 5 ..Kwaiyo hao nmb wanachukua kuanzia mil 10 tu?. Ukiwa na pungufu vipi unaweza kuwekeza?
Sina kazi ya kupoteza hela .. nimeweka hela yangu kwenye high security .. hii ni moja ya biashara kma hujuiNikopeshe hiyo hela nikurudishie kwa riba inaonekana we huna kazi nayo
Lakini mbna unaweza kukopa bank pia .. na ukawalipa kwa riba hivyo hivyoSina kazi ya kupoteza hela .. nimeweka hela yangu kwenye high security .. hii ni moja ya biashara kma hujui
Kwa mwezi sio mwakaInterest 13% si kwa mwaka?
Katafute kwenye dictionary ..High security ndo nini mkuuu
Yah unaweza .. mie ndio kitu nachokifanya .. kama mwezi ukiopita nilinunua bond ya 10 million na naenjoy profit ya 1.3 million ya kila mwezi .. wanakua wanakupa interest .. ila hiyo interest unapewa kila after 6 month .. yani 1.3 zidisha mara miez sita .. mbna zipi biashara ambazo hupati hasara .. na wala haitaji unahangaika ..
Niinbox tuongeeNina bonge la business idea na ningependa lifanyike dodoma ambapo ambalo ni longrun ila faida kubwa. ILA ukitaka ntakuuzia
na awe makini maana walimwengu sasaivi hawamjali mtu.
Great ideaYah unaweza .. mie ndio kitu nachokifanya .. kama mwezi ukiopita nilinunua bond ya 10 million na naenjoy profit ya 1.3 million ya kila mwezi .. wanakua wanakupa interest .. ila hiyo interest unapewa kila after 6 month .. yani 1.3 zidisha mara miez sita .. mbna zipi biashara ambazo hupati hasara .. na wala haitaji unahangaika ..