Peter Majaliwa
Senior Member
- Jun 16, 2017
- 161
- 30
Wapi naweza pata kazi mwanza isiyozingatia elimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una kodi Bei gan kwa ekari, vpi wizi huko?!Tunatumia Mbegu Za Asili ... Tumekodi Mashamba Maeneo Ya ... Bulela ... Nyawilimilwa ... Na ... Kagu ...
vinginevyo mimi ni mhitimu wa kidato cha nne kazi yoyote ileKama kazi gani? Elimu ni muhimu kijana. Kama huna elimu inabidi uende ziwani utege vinginevyo ... pole sana
Hata ukiambiwa fursa bado utahitaji kuiona hiyo fursa! Na pia kumbuka kwamba fursa kwangu inaweza isiwe fursa kwako ndio maana ya huo msemo "Fursa unaiona siyo kuambiwa"Kuna kuona fursa na kuambiwa fursa, what matters is profit in the business, pia kuona fursa ya eneo husika hutegemea namna gani unalijua hilo eneo vizuri.