Nstafuta kazi mwsnza yoyote ile
Ni kupitia kuwa na simple blog tu ambayo utaweka habari au chochote unachopenda then hiyo post yako utaisambaza kwenye mitandao ya kijamii kama facebook.... pale watazamaji watakavyoingia utajipatia pesa
Kampuni ya google adsense ndio itakayokulipa kutokana na matangazo yao kuonekana kwenye blog yako...
Kama unafahamu vizuri mambo ya komputa utaanza fursa hii bila kutumia hata sh mia kwani utafungua blog na kisha utajisajilo kwenye website yao...
Lakini kama mambo ya internet hufahamu vizuri basi tutakuelekeza namna ya kufanya kwa gharama nafuu sana.
Karibuni 0713774746[/QUOTE]