Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Boss, Kuuliza ili afahamu kutoka kwa walio field haimaanishi kwamba hatotumia hiyo elimu.Sawa mtaa hauhitaji degree.
Umeshindwa kufikiria kupitia maarifa uliyoyapata shule
Umesoma uchumi na fedha concept ya DEMAND and SUPPLY ilielewa vizuri. Je umeshindwa kuiapply hapo unapoishia ukajua which is which!?
Tumia hio shahada kujiongeza
Hii speech acerbity unayotumia kwake haina ulazima.