Mtalebani Mweupe
JF-Expert Member
- Mar 12, 2020
- 547
- 632
Hili litategemea na uaminifu suala ambalo ni humu Sana kwa watanzania. Asilimia kubwa wamekosa uaminifuKama kuna watu wanahitaji pia hiyo fursa si mbaya mkiunga team alaf mzigo ukusanywe ili mkimbizane na fursa .Ingawa si vema saana biashara za jumuiya ila kiasi fulani mnaweza kufika mnapotaka
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Inaonekana hujui maana ya connection na mipamgoUsafiri wa boti upo, sio lazima uwe na Connection na mtu, kila kitu mipango.
Azam wanasafirisha sana mizigo kwenda Comoros kama unahitaji kujua gharama zao nenda ofisini kule bandarini ukawaulize watakupa muongozo.
Unavaa boya mwanzo to mwisho wa safari.Kwa majahazi kama yale ya Vasco da Gama mmh! Mbona mwili unanisisimka kabla sijapanda.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Hosp is multimilions capital mkuu. Haifanywi na mtu anayekuja kuulizia hapa JFs
AiseeHapa na type nikiwa Comoros; ni siku ya 10 toka nifike huku.
Nimesoma comment za uzi wako zote na maswali yako nimeyaona.
Kwa ufupi niseme Comoro pesa ipo na kea huo mtaji wako kama ukipata mwongozo sahihi Faida ipo; ila shida inakuja kuwa ni nani atakupa huo mwongozo?
Ukisema uke kufanya tafiti, huo mtaji wako utaishia kwenye utafiti na unaweza ukaishia airport ana jela.
Kama ukiamua kuja gharama ni kama zifuatazo:
1. Visa 125,000
2. Nauli ya Ndege ni kuanzia 1100,000 na kuendelea
3. Guest bei ya chini ni elf 50 kwa siku.
4. Chakula mlo moja ni kuanzia elf20
Kwa hiyo ukiangalia hayo mahesabu utagundua katibia nusu ya mtaji wako unakatika hapo.
Maelezo zaidi utayapa kwenye uzi wangu kuhusu safari yangu ya baada ya kurudi nitaweka kila kitu humo isipokuwa connections tu