Mtalebani Mweupe
JF-Expert Member
- Mar 12, 2020
- 547
- 632
Usafiri wa boti upo, sio lazima uwe na Connection na mtu, kila kitu mipango.
Azam wanasafirisha sana mizigo kwenda Comoros kama unahitaji kujua gharama zao nenda ofisini kule bandarini ukawaulize watakupa muongozo.
Azam wanasafirisha sana mizigo kwenda Comoros kama unahitaji kujua gharama zao nenda ofisini kule bandarini ukawaulize watakupa muongozo.