Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nenda Mayotte kuliko kwenda comoro.Nataka kufanya biashara Comoro kwa mtaji.mdogo, nifanyeje?
Kuanzia milion 5 na kuendeleaUngetaja kiasi cha huo "mtaji mdogo" ili tukusaidie kwa uhakika.
Mimi niko visiwa vya ushelisheli
Nashukuru sana. Nafikiria pia kwenda kutembea huko na kuangalia fursaBiashara kwa Comoro ni nyingi tu inategemea sana reaserch yako.
mojawapo inaweza kukutoa haraka ni Biashara ya chakula - nafaka au biashara ya nyama. Ni suala la wewe kufanya reaserch.
Wenzio biashara ya kupeleka mzgo nje ya nchi, mala nyingi tunaendega nchi husika kwanza na kufanya complete reaserch kabla ya kwenda na mzgo.
Yes unaweza kugoogle n.k lakin mm kwa uzoefu wangu mdogo, napenda Sana kwenda mwenyewe bila kuambiwa na mtu au na internate.
Lakin pia unaweza kuwaona washauri wa mambo ya biashara ya nje. Wanaweza kukupa mwanga.
Kuhusu lesen, export licence ni bei ndogo Sana nadhan kati ya 300,000-400,000.
Ukisajir jina la biashara yako Blera itasound Sana.
Mkuu, Mayotte kuna fursa gani?nenda Mayotte kuliko kwenda comoro.
ukiwa Mayotte una fursa 2 ya biashara na kuingia ufaransa kwa wepesi zaidi.
Ungetaja kiasi cha huo "mtaji mdogo" ili tukusaidie kwa uhakika.
Mimi niko visiwa vya ushelisheli
Mkuu nifafanulie vizuri. Kama nikifanya biashara let say ya mchele napelela kilo 500 nahitaji hivyo vibali vyote? Vipi tozo za Blera na TBS kupima mchele wangu haiwezi kuwa gharama kubwa zaidi?Biashara kwa Comoro ni nyingi tu inategemea sana reaserch yako.
mojawapo inaweza kukutoa haraka ni Biashara ya chakula - nafaka au biashara ya nyama. Ni suala la wewe kufanya reaserch.
Wenzio biashara ya kupeleka mzgo nje ya nchi, mala nyingi tunaendega nchi husika kwanza na kufanya complete reaserch kabla ya kwenda na mzgo.
Yes unaweza kugoogle n.k lakin mm kwa uzoefu wangu mdogo, napenda Sana kwenda mwenyewe bila kuambiwa na mtu au na internate.
Lakin pia unaweza kuwaona washauri wa mambo ya biashara ya nje. Wanaweza kukupa mwanga.
Kuhusu lesen, export licence ni bei ndogo Sana nadhan kati ya 300,000-400,000.
Ukisajir jina la biashara yako Blera itasound Sana.
Hosp is multimilions capital mkuu. Haifanywi na mtu anayekuja kuulizia hapa JFsUkiwa na mtaji wa kutosha, fungua hospital huko. Utakuja kunishukuru baadaye.
Huko usheli sheli napaangalia kwa internet napatamani sana. Anyway tuombe Mungu.Ungetaja kiasi cha huo "mtaji mdogo" ili tukusaidie kwa uhakika.
Mimi niko visiwa vya ushelisheli
Nazi na mbuziNataka kufanya biashara Comoro kwa mtaji.mdogo, nifanyeje?
Comoro mnaenda kwa ndege au meliKuanzia milion 5 na kuendelea
Mbuzi za kukunia au mbuzi nyama?Nazi na mbuzi
Mbuzi mee wanyamaMbuzi za kukunia au mbuzi nyama?