Biashara gani nzuri na ina faida ya mtaji wa Tsh Milioni 1?


Iringa wateja wapi mm nipo uku
 
Hii ya mifuko kiboko,nimechagua kuwa Mteja kwa mtakao anza kuiuza "mteja nipo hapa"
 
Unahitaji mingapi mkuu? Tuma pesa ili kesho upate mzigo wako
Kama ishakufikia maza house acha niandae vijana waniambie watahtaji mingapi halafu nikurudie
 
Boss naomba unipe conn
Tuwasiliane niko Kibada kuna biashara ya mifuko ya Jafafa unanunua mmoja 5000 unauza 8000 wateja wapo kwa kutosha sana
Boss naomba unipe connection ya hii mifuko nikitoka Ghana +255682308523 whasap me tuongee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…