Mkuu, nilimaanisha ulichokisema hapo.
Kuna jamaa wapo pale dodoma ndio wanafanya hivyo;
*Wana-import wenyewe
*Wana wholesale pharmacies, ambazo zinatumika ku-supply kwenye maduka madogo ya dawa.
*Wana 1. Kituo cha afya
2. Specialist clinic,
vyote dodoma, ambapo wana jiuzia dawa
*Wanamiliki chuo cha kati, wanafunzi wakiumwa wanapelekwa kwenye kituo chao cha afya au specialist clinic, ambapo mwisho wa siku wanapewa dawa kutoka hapo juu, jamaa wana-make super profit.
Wamejitengenezea ka mduara fulani hivi kwenye biashara yao.
Kutengeneza brand yako ya dawa ni shughuli pevu 🙌🏿