Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bange aina ya Skanka kutoka Afrika Kusini inalipa kuliko hivyo anza na hii Kwanza.Nahitaji kuwa billionea kwa haraka sana kama Vunja bei, diamond plantumz.
Ideas gani nzuri ya biashara kama nikija nayo nitafanikiwa kwa haraka sana.
Tech startup huwa zonapandsha watu mpaka kuwa bilionea. Unauza idea na fund wanaweka mikono na the rest inabakia kuwa historia.Hapo ulipo kama sio milionea basi kaushaa..usiskize stori za vunjabei eti alianza kuwa dalali wa viatu utajichanganya...
Chukua kipodozi Congo na Zambia kilete Tanzania mikoa hii mbeya na Kagera .Nahitaji kuwa billionea kwa haraka sana kama Vunja bei, diamond plantumz.
Ideas gani nzuri ya biashara kama nikija nayo nitafanikiwa kwa haraka sana.
Ilikuwa sio sasa ndugu.Ukisoma comment utajua kuwa Jamiiforum sio forum , ukilinganisha na forums kama Quora na Reddit
DuhIlikuwa sio sasa ndugu.
Elezea kidogo kwenye mziki.. una experience?Tech startup huwa zonapandsha watu mpaka kuwa bilionea. Unauza idea na fund wanaweka mikono na the rest inabakia kuwa historia.
Kama ni geneus basi njoo na innovation matata uza wazo ndani ya miaka 4 unawezakuwa biloonea.
Eneo lingine ni mziki, yani kwenye mziki kama una kipaji unakuwa bilionea faster.
Eneo ambalo litawezesha watu kuwa bilionea kwenye tech ni high capacity batterycharge storage. Ukija na betfi inayotunza chaji nyingi na kuchukua eneo dogo utakuwa bilionea kumzid Elon.
Njoo kkoo uone watu hawana biashara zaidi ya udalali wa viatu tu na wanapata pesa kukidhi mahitaji yao. Kuna watu wanapiga mpaka 100k kwa siku asubui tu. Sasa kama vunjabei alikua kama hawa nao waona mimi bas alikua ana save mpaka akawa na mtaji wakeHapo ulipo kama sio milionea basi kaushaa..usiskize stori za vunjabei eti alianza kuwa dalali wa viatu utajichanganya...