Biashara gani yenye faida Kwa mtaji wa Tsh 10 milioni mkoani Arusha

Biashara gani yenye faida Kwa mtaji wa Tsh 10 milioni mkoani Arusha

Lemongrass

Member
Joined
Apr 23, 2023
Posts
39
Reaction score
55
Wanajamvi naomba ushauri, nataka kuanzisha biashara itakayonipatia faida mtaji 10M, location - Arusha
Note
1. Biashara ambayo haitahitaji usimamizi wangu wa karibu
2. Itakayonipa urahisi wa kumu-monitor nitakayemuweka kusimamia biashara
 
Back
Top Bottom