Biashara hii kutoboa lazima

Biashara hii kutoboa lazima

Bnon

Member
Joined
Dec 16, 2023
Posts
40
Reaction score
67
Nina eneo langu lipo barabarani kabisa... Maeneo ya Tegeta.. Huku ndo watu wanajenga sana sasa hivi, zipo hardware uchwara ambazo hazina kila kitu.... Kama tiles ndo hakuna kabisa...

Sasa natamani kama angepatikana Mtu mwenye uwezo wa kuwekeza hapo tufanye jambo... ( KUTOBOA LAZIMA) kama upo tayari unaweza kuja kupaona...... Ni dm ndugu tuyajenge.
 
Nina eneo langu lipo barabarani kabisa ... Maeneo ya tegeta.. huku ndo watu wanajenga sana sasa hivi ,zipo hardware uchwara ambazo azina kila kitu .... Kama tyres ndo akuna kabisa... Sasa natamani kama angepatikana Mtu mwenye uwezo wa kuwekeza hapo tufanye jambo... ( KUTOBOA LAZIMA) kama upo tayari unaweza kuja kupaona...... Ni dm ndugu tuyajenge.
Tiles unaandika tyres
Eti kutoboa lazima..
Nacheka kama mazuri
 
Tiles unaandika tyres
Eti kutoboa lazima..
Nacheka kama mazuri
1723036705140.jpg
 
Tiles Tegeta zipo pale Namanga karibu na rabhininsia hospital, zipo nyingine pale dawasco kuna zingine ziipo njia ya ununio. Ukifika Karibu na bunju pale traffic wanasimama juu pale baada ya magengeni. Pia kuna tiles lake oil opposite kwwa chini pale, Bunju A kuna tiles, ukiwa unaelekea bunju sokoni, kuna sehemu traffick wanasimama kushoto kuna maduka ya tiles zaidi ya sita,. Ukivuka mapinga kuna tiles. Na hardware kubwa sana.
Na kuanzia hapo kuendelea hadi zinga ni tiles na.mahadware ya kufa mtu,
Nikirudi nyuma pale bunju sokoni kuna hardware kubwa sana imeandikwa MAKUNA..
Hizi hapa kwa majina.
TEGETA BUILDING HAARDWARE STORE.
MAPINDUZI HARDWARE
Jk HARDWARE
NAMANGA HARDWARE
ZOO HARDWARE TEGETA
WILLIE HARDWARE
MAPAMBANO HARDWOODS
KIMARO HARDWARE(Bingwa kabisa tegata wa kila kitu)
ALAFU KUNA BEDUI, HUYU WAJANJA WOTE WA MJINI, BUGURUNI KKOO NA TEGETA WANAMFAHAMU VIZURI.
Sasa wewe upo tegata Gani?
Hawa wote nasupply mzigo kwao.
Usiseme hamna HARDWARE,sema una eneo unataka mtu awekeze. Tegata hardware kubwa ni nyingi saaaaaaaaana.
 
Nina eneo langu lipo barabarani kabisa... Maeneo ya Tegeta.. Huku ndo watu wanajenga sana sasa hivi, zipo hardware uchwara ambazo hazina kila kitu.... Kama tyres ndo hakuna kabisa...

Sasa natamani kama angepatikana Mtu mwenye uwezo wa kuwekeza hapo tufanye jambo... ( KUTOBOA LAZIMA) kama upo tayari unaweza kuja kupaona...... Ni dm ndugu tuyajenge.
Tegeta kuna hardware kubwa nyingi kuliko hata za mikoani,ukanda huo hadi Kerege zipo nyingi
 
Tiles Tegeta zipo pale Namanga karibu na rabhininsia hospital, zipo nyingine pale dawasco kuna zingine ziipo njia ya ununio. Ukifika Karibu na bunju pale traffic wanasimama juu pale baada ya magengeni. Pia kuna tiles lake oil opposite kwwa chini pale, Bunju A kuna tiles, ukiwa unaelekea bunju sokoni, kuna sehemu traffick wanasimama kushoto kuna maduka ya tiles zaidi ya sita,. Ukivuka mapinga kuna tiles. Na hardware kubwa sana.
Na kuanzia hapo kuendelea hadi zinga ni tiles na.mahadware ya kufa mtu,
Nikirudi nyuma pale bunju sokoni kuna hardware kubwa sana imeandikwa MAKUNA..
Hizi hapa kwa majina.
TEGETA BUILDING HAARDWARE STORE.
MAPINDUZI HARDWARE
Jk HARDWARE
NAMANGA HARDWARE
ZOO HARDWARE TEGETA
WILLIE HARDWARE
MAPAMBANO HARDWOODS
KIMARO HARDWARE(Bingwa kabisa tegata wa kila kitu)
ALAFU KUNA BEDUI, HUYU WAJANJA WOTE WA MJINI, BUGURUNI KKOO NA TEGETA WANAMFAHAMU VIZURI.
Sasa wewe upo tegata Gani?
Hawa wote nasupply mzigo kwao.
Usiseme hamna HARDWARE,sema una eneo unataka mtu awekeze. Tegata hardware kubwa ni nyingi saaaaaaaaana.
Alafu amekuombamaji na umemnyima …… just imagine
 
Back
Top Bottom