Mimi nilianza na laki 7 bidhaa za nyumbn na miamala 2.5...jamaa mmoja swahiba wangu akaniambia nijiunge na biashara ya forever..nikatoa laki 7...hela angu ikazama....
Mtaji wa miamala nilionao Sasa Ni m1 na kamisheni huwa napata above laki2 per month...
10m ni mtaji mkubwa Sana ...inategemea unafanyia wap na biashara gani..