marandu2010
JF-Expert Member
- Aug 7, 2010
- 1,201
- 446
Habari wakuu..
Nina biashara inayonipatia 10000 kila siku..je nitaweza vp kupata mkopo kutoka benk au taasisi nyingine yeyote ya kifedha kwa kutumia biashara hii..
Nb
Ni biashara ya frame(static)
Bado haijasajiriwa.yaani haina leseni .
Nahitaji mkopo atleast milioni 2.
Lengo la mkopo ni kupanua biashara
Natanguliza shukrani wakuu
Nina biashara inayonipatia 10000 kila siku..je nitaweza vp kupata mkopo kutoka benk au taasisi nyingine yeyote ya kifedha kwa kutumia biashara hii..
Nb
Ni biashara ya frame(static)
Bado haijasajiriwa.yaani haina leseni .
Nahitaji mkopo atleast milioni 2.
Lengo la mkopo ni kupanua biashara
Natanguliza shukrani wakuu