Muhudumu nipo hapa😜😜 Sasa ole wako unisahauMkuu nafikiri ni mkanganyiko tu wa mwandiko lakini lengo ni moja tu.
Asante kwa kunistua lkni.
🤣🤣🤣eti kumla mpika chakula😁😁haya bhana.
Asante sana kwa ushauri mkuu uzidi kubarikiwa..
Nyodo nitaziacha nyumbani 🤪
Shukrani mno Wang Shu
😂😂😂😂 Kwamba Mimi ni kivutio au siyo..😂😂 chakorii chizi sanaWewe lazima nikuchukue ili wateja wavutike kuja kula😅😅
😋😋😋Kumbe ipo siku nitakula mapishi yako mkuu nitakuungisha, Mtwara ndio nilipokulia na kuzaliwa nimetoka miaka 3 iliyopita nipo nyanda za juu kusini uku mwishoni mwa mwaka huu narudi kusalimia uko nitakutafuta Chakoriiitabidi nimkutanishe na mwamba wa ❤ wangu(mwanaume mwenzie)wakubaliane.
Mimi ndie mwamuzi.nikiwa wa aina hiyo nitatafunwa na wangapi mkuu.
Niko mtwara mkuu
Sanaaa...tena napika vyakula va asili vyenye kufanya mwili uwe na afya na nguvu za kutosha...
Nasimamia bango hapo kwenye kumla mpika chakula na nyodo ziachwe nyumbani..😂Mkuu nafikiri ni mkanganyiko tu wa mwandiko lakini lengo ni moja tu.
Asante kwa kunistua lkni.
🤣🤣🤣eti kumla mpika chakula😁😁haya bhana.
Asante sana kwa ushauri mkuu uzidi kubarikiwa..
Nyodo nitaziacha nyumbani 🤪
Shukrani mno Wang Shu
Bwana akusimamie..Jehovah kuna mtu huku anatafuta ngumi za jumatatu 🙆♀️🙆♀️
Blaza usicheze na mimi kwenye kuzungumza na wateja...najua kutumia ulimi ipasavyo joh 😎😎