Kichochoro
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 1,135
- 1,167
Habari wanajamvi naomba ushauri, nina pesa kidogo kiasi cha laki nane naomba ushauri kwa wazoefu na biashara.
Ni biashara gani ninaweza kufanya na ikaniletea faida ijapo pesa ya kula.
Naombeni ushauri kwa wazoefu wa biashara nawasilisha[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Zaidi soma: Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?
Ni biashara gani ninaweza kufanya na ikaniletea faida ijapo pesa ya kula.
Naombeni ushauri kwa wazoefu wa biashara nawasilisha[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Zaidi soma: Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?