Biashara isiyo na mtaji iliyobadili maisha yangu

site hyo ipo playstore inaitwa courch surfing
 
Mkuu Maisha ya Mtandaoni yana siri Kubwa sana........Usiwe unapenda kuingia ingia sana hasa hii Mitandao inayokutaka uweke Password yako au kuruhusu (Allow) jambo ambalo hukulitaka........!!!!!
tunadukuliwa
 
Nafasi za kujitolea
Natafuta kazi
Ukiwa muongo usiwe msahaulifu tafadhali
 
Kuwa tu Mmasai au funga rasta, utapata wabibi wa kizungu wa kumwaga.
 
Mzungu (Mtalii) atoke huko kote hadi Tz pasipo kujua atafikia wapi???? Kwahiyo akalala ghetto kwako braza.... Chai na maharage kama kitafunwa sio poa kabisa chapati ingependeza zaidi.
 
Mzungu (Mtalii) atoke huko kote hadi Tz pasipo kujua atafikia wapi???? Kwahiyo akalala ghetto kwako braza.... Chai na maharage kama kitafunwa sio poa kabisa chapati ingependeza zaidi.
Nenda znz utajionea

Mwaka Jana nilienda kumtafutia nyumba ya kupanga znz ndugu yangu mmoja ,.znz kuna flats national housing nyingi sasa wengi walikuwa wanatukatalia sabb wanawasubiria watalii wawapangishie kwa pesa ndefu vyumba 2 bafu,choo ndani self contain na kochi zipo ndani

Vijana wengi znz wana mchezo huo
 
Hakuna biashara isiyo na mtaji.

Mtaji wako wa kwanza ni muda. Umetumia muda mwingi kukaa na kutafuta watalii
Muda wa kusafiri nao huku na kule
Lazima ulijinunulia nguo, begi na vingine vingi kabla ya safari.
Elimu yako pia ni mtaji tosha.... kuongea kiswangilish hadi kuelewana nao si kazi ndogo
 
Acha porojo, kama hili ni jambo unaloona unahitaji kuchangia na watu basi ungeweka vielelezo vyote wazi, otherwise ungeweza kukaa kimywa tu

Na kama ndio mtego wa kupata pesa toka kwa wasio na ajira wenzio wakutafute uwatoze malipo ndio uwatajie hiyo site uliyojiunga, basi subiri mazumbukuku watakutafuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…