chaji
Member
- Sep 15, 2018
- 13
- 10
Wakuu heshima kwenu ndg zangu, wakubwa shikamooni lika langu habari zenu.
Baada ya salamu naomba niwape pole kwa majukumu mbali mbali na hongera kwa utekerezaji wa majukumu hayo.
Kilichonileta kwenu ndg zangu, naomba mchanganuo wenu wenye wazo au mawazo ya biashara ambayo nikiiifanya itanitoa na kufika mbali ,,,,,,,nina mtaji wa milioni moja ninaishi Dar es salaam ,,je nifulsa ipi ya biashara naweza kufanya kwa mtaji huu wa million moja??????
Asanteni.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya salamu naomba niwape pole kwa majukumu mbali mbali na hongera kwa utekerezaji wa majukumu hayo.
Kilichonileta kwenu ndg zangu, naomba mchanganuo wenu wenye wazo au mawazo ya biashara ambayo nikiiifanya itanitoa na kufika mbali ,,,,,,,nina mtaji wa milioni moja ninaishi Dar es salaam ,,je nifulsa ipi ya biashara naweza kufanya kwa mtaji huu wa million moja??????
Asanteni.....
Sent using Jamii Forums mobile app