Biashara itakayokupa faida ya bilioni 1 kwa mwaka

Mwambie aingie mkataba na Diamond ili wapige show maana show moja ya Diamond kwa hapa bongo si chini ya milioni 100 ndani ya mwaka tayari
 
Umeongea uhalisia mtupu,, hilo ni suala la kwanza,, lakini kufanikisha lile kilichopo kwenye makaratasi kuja kwenye uhalisia ni changamoto nyingine ngumu zaidi,,
 
Ras wa Paroko ,Hizo ndio. Idea ,amalizie yeye mwenyewe na Wengine pia wamefaidika ,uliyeomba Idea Jiongeze

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biashara ya kununua cocaine whole sale Columbia unauza retail bongo. 1bilioni kwa mwaka kirahisi kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.Kiwanda cha nguzo za zege awauzie tanesco, 2.biashara ya kuuza magari.
3. Biashara ya ujenzi wa nyumba bora za makazi na kuziuza kama wafantavyo nhc
4. Kampuni kubwa ya ujuenzi wa majengo, barabara, na madaraja
5. Kampuni kubwa ya ufugaji wa Kuku wa nyama na mayai na kilimo cha mazao kwa ajili ya kuuza nje ya nchi. Mkuu niunganishe na mzee tumpigie kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu...[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Huu ufafanuz wako, kama ni mtindo wa ushonaji wa nguo basi unaiga kwa kuangalia umbo la nje bila kujua vipimo ni lazima utaharibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NB:
- Huu sio ushauri wa kitaalam bali ni maoni ya kawaida, na ni nadharia tu kwa 100%; ukitaka kuwekeza ongea na wataalam wako wakushauri
- If you want to win big you gotta play big

Nawasilisha ........

Aahahahahahahahahahaaaaa looh πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…