kwani ukitaka kufanya biashara nje ya nchi aukuchuukua mzigokenya mpaka uwe na invitation letter maana mm sijui
hebu watalaamu na wajuzi mje kutusaidia hapa
hakuitaji invitation letter labda kama unasema unaenda kuonana na kampuni imekuita au mtu
Sidhani kama visa ya uturuki inahitaji invitation letter, wale hawana roho mbaya kama wenzao ulaya (pure)
Hua napitaga tu sijawahi kushuka nione usumbufu wa kupata visa
Nakumbuka kwenda huko na Visa nilinunua Online kwenye ukurasa wao wa Visa.
Nilinunua kama Mtanzania maana hadi leo bado Mtanzania ingawa Visa niliyonayo huenda ilinisaidia.
Ila ninavyofahamu kwenye swala la Visa, wanaangalia Passport yako na siyo Visa gani unayo.
Kila la kheri.
Nyongeza: Nilikuwa na fedha za kutosha kama wanavyodai uwe nazo yaani bajeti yako kwa siku. Sikumbuki ni ngapi ila nafikiri ukijiwekea Euro 100 kwa siku basi zinatosha. Ila kama utapata mwaliko, basi ina maana huyo mwenyeji wako ataonyesha kuwa ana fedha. Kama ni Kiwanda au kampuni, inaweza kuwa ngumu. Karibuni pia pande hizi kwa biashara.
Mwenyeji anaonesha vipi kuwa ana fedha katika invitation letter kwa mtu binafsi(sio kampuni) na huo utaratibu wa kuonesha kiasi cha fedha upo hata kwa Marekani,maana kuna mtu anataka kuniandikia barua ya mwaliko lakini hajui vitu gani vya kuonesha,sasa hata kwenye fedha sidhani kama tunauelewa wa kutosha...kama unajua unaweza kutoa msaada pia hapa.kama utapata mwaliko, basi ina maana huyo mwenyeji wako ataonyesha kuwa ana fedha. Kama ni Kiwanda au kampuni, inaweza kuwa ngumu. Karibuni pia pande hizi kwa biashara.
Mwenyeji anaonesha vipi kuwa ana fedha katika invitation letter kwa mtu binafsi(sio kampuni) na huo utaratibu wa kuonesha kiasi cha fedha upo hata kwa Marekani,maana kuna mtu anataka kuniandikia barua ya mwaliko lakini hajui vitu gani vya kuonesha,sasa hata kwenye fedha sidhani kama tunauelewa wa kutosha...kama unajua unaweza kutoa msaada pia hapa.
cc Money Stunna
Hakuna Haja ya invitation letter,visa Yao ni dakika tu unapata,na ukishindwa pata,unaweza kupata airport ukienda na ndege Yao Turkey airline,utajaza pale airport,kwa kila siku utakazokaa uwe na angalau dolla 100
Nilikuwa naulizia kwa invitation letter ya Marekani sio Uturuki,so unaweza ipitia tena then unipe vip content ya hizo barua inatakiwa iwe na vitu gani na uwezo wa kifedha anayenialika ataonesha wapi na kwa mtindo gani kama inatakiwa kuoneshwa
Ok,nitashukuru sana,Nitakuandikia mfano wake baadaye nikitoka mizunguko,kuhusu uwezo kifedha ni kupitia bank statement
Ok,nitashukuru sana,