Steven Sambali
JF-Expert Member
- Jul 31, 2008
- 364
- 182
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa biashara Kama za nguo siwashauri Muende Turkey sababu ata wao utao China,nguo ni bei kule,mi uwa naendaga kula bata tu kila mwaka nitaenda tena January 2016
Mwenyeji anaonesha vipi kuwa ana fedha katika invitation letter kwa mtu binafsi(sio kampuni) na huo utaratibu wa kuonesha kiasi cha fedha upo hata kwa Marekani,maana kuna mtu anataka kuniandikia barua ya mwaliko lakini hajui vitu gani vya kuonesha,sasa hata kwenye fedha sidhani kama tunauelewa wa kutosha...kama unajua unaweza kutoa msaada pia hapa.
cc Money Stunna
Kuna deal gani hasa huko za kibiashara kuliko ilivyo nchi za Asia kama Thailand na China hasa kwenye bei ya vitu.
kaka tupe ABC kuhusu poland kibiashara utakuwa umetusaidia sana. Si unajua tena life lenyewe ni info tu
Kuna deal gani hasa huko za kibiashara kuliko ilivyo nchi za Asia kama Thailand na China hasa kwenye bei ya vitu.
kaka tupe ABC kuhusu poland kibiashara utakuwa umetusaidia sana. Si unajua tena life lenyewe ni info tu
Nakumbuka kwenda huko na Visa nilinunua Online kwenye ukurasa wao wa Visa.
Nilinunua kama Mtanzania maana hadi leo bado Mtanzania ingawa Visa niliyonayo huenda ilinisaidia.
Ila ninavyofahamu kwenye swala la Visa, wanaangalia Passport yako na siyo Visa gani unayo.
Kila la kheri.
Nyongeza: Nilikuwa na fedha za kutosha kama wanavyodai uwe nazo yaani bajeti yako kwa siku. Sikumbuki ni ngapi ila nafikiri ukijiwekea Euro 100 kwa siku basi zinatosha. Ila kama utapata mwaliko, basi ina maana huyo mwenyeji wako ataonyesha kuwa ana fedha. Kama ni Kiwanda au kampuni, inaweza kuwa ngumu. Karibuni pia pande hizi kwa biashara.