Pastor Achachanda
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 3,023
- 1,315
Wao hizo ndoo wanazifanyia nini noaja zina value kiasi hicho?
Mtu akiwa nazo ndani anaonekana ana maisha mazuri. Wanaweka maji na kutunzia bidhaa za mashambani. Pia wengine wanawindia wanyama kama sungura nk wakiweka chakula wakiingiza kichwa hawatoki. Pia kwa aliyeshangaa mayai 40 hicho ni kidogo mno. Mavago kuku ni wengi kama pikipiki za Mwanza au kule Songea hawaoni hasara kabisa. Pia wengi wamelala.