Biashara na mahusiano hayatanitesa kweli?

Biashara na mahusiano hayatanitesa kweli?

Ila bado unautoto mwingi sana.

Rudia hayo uliyoyaandika kwenye hii post yako utagundua umezingua pamoja na kuitwa babu.
Umewahi kumtia mimba wakati mambo yako bado.

Hawa wadudu wakishikana akili huna Bahati. Huyo ungeendelea kumtumikisha Kwanza mkuu akuingizie hela ya kutosha japokuwa mnagawana lakini MWANAUME lazima azidi kipato hapo.

Wewe subiri kucheza SINDIMBA utaiona taa ya njano muda sio mrefu alafu inafata NYEKUNDU Sasa.

Kmmake hisia.
 
Kwa nionavyo kwa upande wako, watu wanabadilika Mkuu, alafu ushauri wangu kuwa makini manake kama na duka ushafungua. Mchepuko huo ukishapata mtoto na wewe utaanza kunyanyua mabega na kujilinganisha na huyo (wife material wako kama ulivyomuita.) mwisho wa siku matokeo hayatakuwa mazuri.
Kuna mifumo nitaitumia pale itakavyokuwa hivyo; yeye nitamsainisha mkataba wa ajira; kuhusu kuzaa nje, si wa kwanza, wapo wengine 5 nje wana watoto wangu pia nje ya ndoa.
 
Hii biashara itakua ya kwako sawa

Ila wewe ndo utakua unaishi kama muajiriwa.

Akiwa anataka interest zake zitimie anakupiga mkwara tu kuwa anamwambia wife. Unapoa
 
Soma Comment za Wanawake wa JF wanakufafanulia nini kitajiri baadae yaan wanakupa picha mapema, cha kwanza utaambiwa yaan Mimi nikufanyie kazi wewe na Mkeo kwani Mimi sijakuzalia Mtoto?
Bahati nzuri amesema kwenye biashara tusiweke mahusiano
 
Utapigwa back to back, home and away kama Simba alivyofanywa na Yanga.

Yani utakuja kushangaa mtoto sio wako na biashara unaishia kuweka mtaji, kulipa kodi ila hunufaiki na chochote

Tulia na huyo the ao called wife material. Mjengee kabiashara kake ambako mtakuwa huru wote wawili
 
Wakuu habari?

Mchepuko wangu alinipa wazo moja la biashara, na katika kulitathmini likanishawishi na kunipa matumaini, kwa sababu kama nitalitekeleza kwa ufasaha, linaweza kutengeneza matawi hapa na pale na mwisho wa siku kipato kitaonekana.

Bahati nzuri katika wazo hilo, yuko tayari kulisimamia, na pia ana timu ya kumsaidia kufanya hiyo kazi; kwa upande wangu natakiwa kufungua ofisi tu.

Bahati nzuri tuliafikiana nifungue mimi ofisi na isomeke kwa majina yangu (eqn x co.ltd), yeye awe kama muajiriwa tu, ila faida tuwe tunagawana nusu kwa nusu. Na itamlazimu wakati mwingine kwenda mikoa mingine kwa ajili ya ufunguzi wa ofisi; kwa mazingira hayo atakuwa kama ''operation manager''

Kutokana na hii mikakati kabambe, nimeamua kumzawadia ujauzito ili aweze kufanya kazi kwa uaminifu zaidi, akijua anapambania mali ya baba wa mtoto wake.

Hofu yangu ni kwa huko baadaye, hatoweza kuleta timbwili timbwili kwa bi mkubwa (waifu matirio wangu)?

Ingawa kwa sasa anasema ananiheshimu mimi pamoja na familia yangu, na hatoleta tatizo.

Wazoefu, nipeni maushauri; hii biashara na mahusiano hayata nitesa kweli?

Je, nifanyeje?​
Daaah sasa tukushauri nini?
 
Ndio HAPO sasa Maji utakapoita Mma aidha umpe ZOTE au amwage Ugali na Mboga yake
Kwa sababu biashara itasomeka eqn x na itakuwa kila mkoa/wilaya uko mbeleni, kupitia hiyo hiyo biashara naye atatakiwa kufungua eqn y (atamiliki yeye)
 
Umewahi kumtia mimba wakati mambo yako bado.

Hawa wadudu wakishikana akili huna Bahati. Huyo ungeendelea kumtumikisha Kwanza mkuu akuingizie hela ya kutosha japokuwa mnagawana lakini MWANAUME lazima azidi kipato hapo.

Wewe subiri kucheza SINDIMBA utaiona taa ya njano muda sio mrefu alafu inafata NYEKUNDU Sasa.

Kmmake hisia.
Akiiba ataenda kutumia kulea mtoto wangu 😀
 
Kwa sababu biashara itasomeka eqn x na itakuwa kila mkoa/wilaya uko mbeleni, kupitia hiyo hiyo biashara naye atatakiwa kufungua eqn y (atamiliki yeye)
Sasa HAPO kwenye Y ndio BOM linapoenda kulipukia atataka kuchukua ZOTE 100 SIO 50/50 tena na kuanza kujisifia ubossledi akiwa ameshikilia share ZOTE kwa asilimia 100 Wewe ukiwa Mikono mitupu
 
Back
Top Bottom