Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #101
Sawa mkuuSawa mkuu kila la kheri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuuSawa mkuu kila la kheri
Kuna hatua itafikia atatakiwa awe na chake ajisimamieHAO viumbe wanabadirika na Muda Muda huu atakwambia hivi kuna Muda utafika hakuna 50/50 atataka 100
Ndio HAPO sasa Maji utakapoita Mma aidha umpe ZOTE au amwage Ugali na Mboga yakeKuna hatua itafikia atatakiwa awe na chake ajisimamie
Kuna hatua itatakiwa nawewe umiliki vya kwako na ujisimamie; kwenye maandishi hayo malengo nitayawekaJidanganye,, ungejua nitatamani ziongezeke zaidi😂
Umewahi kumtia mimba wakati mambo yako bado.Ila bado unautoto mwingi sana.
Rudia hayo uliyoyaandika kwenye hii post yako utagundua umezingua pamoja na kuitwa babu.
Kuna mifumo nitaitumia pale itakavyokuwa hivyo; yeye nitamsainisha mkataba wa ajira; kuhusu kuzaa nje, si wa kwanza, wapo wengine 5 nje wana watoto wangu pia nje ya ndoa.Kwa nionavyo kwa upande wako, watu wanabadilika Mkuu, alafu ushauri wangu kuwa makini manake kama na duka ushafungua. Mchepuko huo ukishapata mtoto na wewe utaanza kunyanyua mabega na kujilinganisha na huyo (wife material wako kama ulivyomuita.) mwisho wa siku matokeo hayatakuwa mazuri.
Mke yuko mbali anasimamia vitu vingine, huku sana sana ni mchepuko tu; ila mke atatakiwa kupata data kwa kinachoendeleaYaani wewe mke wako mchepuko wote mko ofisi moja 😆
Usiniogopeshe mkuu, acha nitumie fursa; kaleta wazo ngoja tulifanyie kazi 😀 , nikiogopa nitakuwa sio mjasiriamali.Equation x unasikia haya maelezo ya awali? Sasa subiri BOM lipo 23:00 bado Muda wa 0:00 haujafika
Bahati nzuri amesema kwenye biashara tusiweke mahusianoSoma Comment za Wanawake wa JF wanakufafanulia nini kitajiri baadae yaan wanakupa picha mapema, cha kwanza utaambiwa yaan Mimi nikufanyie kazi wewe na Mkeo kwani Mimi sijakuzalia Mtoto?
Mniombee 😀Sawa mkuu kila la kheri
Kaleta wazo lenye tija sana, hapa nawaza hela tu 😀 😀Unasikia Equation x ? Kitaumana HUKO mbele ya Safari
naona unanikwepa kiaina hahahaha,,na mimba nshanasa ivooKuna hatua itatakiwa nawewe umiliki vya kwako na ujisimamie; kwenye maandishi hayo malengo nitayaweka
Ni kweli, ndio nipo kwenye kuainisha hizo 'risk' na namna ya kuzitatuaHapo baadae kutakua na conflicts of interest kweny iyo biashara by the way uombe sana mungu
Daaah sasa tukushauri nini?Wakuu habari?
Mchepuko wangu alinipa wazo moja la biashara, na katika kulitathmini likanishawishi na kunipa matumaini, kwa sababu kama nitalitekeleza kwa ufasaha, linaweza kutengeneza matawi hapa na pale na mwisho wa siku kipato kitaonekana.
Bahati nzuri katika wazo hilo, yuko tayari kulisimamia, na pia ana timu ya kumsaidia kufanya hiyo kazi; kwa upande wangu natakiwa kufungua ofisi tu.
Bahati nzuri tuliafikiana nifungue mimi ofisi na isomeke kwa majina yangu (eqn x co.ltd), yeye awe kama muajiriwa tu, ila faida tuwe tunagawana nusu kwa nusu. Na itamlazimu wakati mwingine kwenda mikoa mingine kwa ajili ya ufunguzi wa ofisi; kwa mazingira hayo atakuwa kama ''operation manager''
Kutokana na hii mikakati kabambe, nimeamua kumzawadia ujauzito ili aweze kufanya kazi kwa uaminifu zaidi, akijua anapambania mali ya baba wa mtoto wake.
Hofu yangu ni kwa huko baadaye, hatoweza kuleta timbwili timbwili kwa bi mkubwa (waifu matirio wangu)?
Ingawa kwa sasa anasema ananiheshimu mimi pamoja na familia yangu, na hatoleta tatizo.
Wazoefu, nipeni maushauri; hii biashara na mahusiano hayata nitesa kweli?
Je, nifanyeje?
Kwa sababu biashara itasomeka eqn x na itakuwa kila mkoa/wilaya uko mbeleni, kupitia hiyo hiyo biashara naye atatakiwa kufungua eqn y (atamiliki yeye)Ndio HAPO sasa Maji utakapoita Mma aidha umpe ZOTE au amwage Ugali na Mboga yake
Akiiba ataenda kutumia kulea mtoto wangu 😀Umewahi kumtia mimba wakati mambo yako bado.
Hawa wadudu wakishikana akili huna Bahati. Huyo ungeendelea kumtumikisha Kwanza mkuu akuingizie hela ya kutosha japokuwa mnagawana lakini MWANAUME lazima azidi kipato hapo.
Wewe subiri kucheza SINDIMBA utaiona taa ya njano muda sio mrefu alafu inafata NYEKUNDU Sasa.
Kmmake hisia.
Sasa HAPO kwenye Y ndio BOM linapoenda kulipukia atataka kuchukua ZOTE 100 SIO 50/50 tena na kuanza kujisifia ubossledi akiwa ameshikilia share ZOTE kwa asilimia 100 Wewe ukiwa Mikono mitupuKwa sababu biashara itasomeka eqn x na itakuwa kila mkoa/wilaya uko mbeleni, kupitia hiyo hiyo biashara naye atatakiwa kufungua eqn y (atamiliki yeye)