Na ukitaka kuamini hii mbinu mfanyie mtu unayefamiana nae utakuja kunipa majibu..wafanya biashara wengi wenye wenge huwa wanapigwa kwa style hii.kwa kuwa hawanampango wa kuhakikisha malipo mara mbili.Inaonekana bado unaishi kwa shemeji au umeandika kiutani
Kwelii mzeee wewe umenena kwaiyo nini kifanyikeHakuna kitu kinaitwa chuma ulete kwenye biashara,huwezi kuibiwa pesa kimazingara bila kuitoa mwenyewe pasipo kujua..kinachotokea huwa mara nyingi ni wenge la mfanyabiashara ndio linatumika kumuibia..kinachofanyika ni kwamba.unakuta mtu amekulipa tayari malipo yako halafu anajifanya amekuzidishia hela na wewe tayari umeshazihesabu na kuona zimetimia.ukimrudishia atazibadilisha na kukupa zilizokunjwa kwa ustadi kama zile alizokupa mwanzo..na kwa kuwa unawenge la mauzo hautazihakikisha tena hapo ndipo kipigo kinapokuhusu
ndo unakomaa hapo sasa kwenye biasharaMimi ni mfanya biashara mgeni kwenye nafaka sasa na leo ni siku ya pili kwenye hii biashara yangu.
Kasumba niliyokutana nayo wadau ni kwamba kuna mteja alikuja kununua mchele kilo 170 na unga ndogo tatu thamani ya shilling laki tatu na 87. Ile hela kanipa nimehesabu kwa macho yangu imetimia nikaweka mfukoni. Nikampakilia mzgo wake. Huyo mteja anatokea chamanzi kwa maelezo yake. Basi kashaondoka nahesabu tena ile hela nakuta ni laki moja na elfu kumi yanii laki mbilii na 77 haipo.
Dah wenye uzoefu wanifafanulia jamaa katumia njia ipi kuniibia hela nyingi kiasi kile na mimi mwenyewe hata sikushtuka hivi huwa wanatumia dawa hawa matapelii msaada please? kama imewahi kukutokea naomba experience yako hapa.
Inaitwa 'chenjikota!'Hakuna kitu kinaitwa chuma ulete kwenye biashara,huwezi kuibiwa pesa kimazingara bila kuitoa mwenyewe pasipo kujua..kinachotokea huwa mara nyingi ni wenge la mfanyabiashara ndio linatumika kumuibia..kinachofanyika ni kwamba.unakuta mtu amekulipa tayari malipo yako halafu anajifanya amekuzidishia hela na wewe tayari umeshazihesabu na kuona zimetimia.ukimrudishia atazibadilisha na kukupa zilizokunjwa kwa ustadi kama zile alizokupa mwanzo..na kwa kuwa unawenge la mauzo hautazihakikisha tena hapo ndipo kipigo kinapokuhusu
Chakufanya ni kuondoa wenge la mauzo kwenye biashara,mteja akikupa hela hakikisha hazirudi kwake mpaka mtakapokubaliana kuwa hakuna biashara baina yenu itakayofanyika..kinyume na hapo utalia DailyKwelii mzeee wewe umenena kwaiyo nini kifanyike
Utotoni niliwahi kumuona mzee anaweka mkaa, alikuwa na duka nilipokuja kuwa mkubwa mkubwa ndio nikaelewa ni kwanini anafanya hivo.Abra kadabra... uwe unaweka mkaa sehemu unayoweka noti ya mauzo.
Kama kitu haukijui busara ni kunyamaza tuMungu anasaidiwa na uchawi? Anyways, hakuna kitu kama chuma ulete, hii ni imani ya kijinga kabisa. Sana sana ni matapeli tu wanakuchota na maneno tu.
Acha kuwasikiliza hao ambao wanaishi kwa wazazi wao na wengine ni watembeza bahasha nikuambie kitu kimoja chuma ulete ipo na inawapiga watu mno mimi nakuambia hivyo kwasababu nishawahi kuona matukio ya hivyoKwelii mzeee wewe umenena kwaiyo nini kifanyike
Kweli kabisa mara ya pili sikuhesabu tena nilichogundua ni kuhesabu hela mara mbili mbiliHapo umetapeliwa ulipewa hela kamili 387,000 ukahesabu kuna namna lazima alikuzubaisha ukairudishe ile hela sasa hapa akakupa 112,000 hiyo iliyokunjwa kifundi ikiwa na buku mbili mbili nyingi kwa kua iliisha hesabu akili itakuambia ni pesa ile ile ukatupia kwenye droo,
Ukamfungia mzigo akatembea.
Ninyaze wakati watu wanaongopa?Kama kitu haukijui busara ni kunyamaza tu
Kwa hiyo ni kweli unathibitisha kwamba alivyokulipa hela kwa mara ya kwanza ukamrudishia hela kisha baadae akakulipa tena?kama ni hivyo hakuna chuma ulete hapo alikuzidi ujanja tu wa kukuzubaishaKweli kabisa mara ya pili sikuhesabu tena nilichogundua ni kuhesabu hela mara mbili mbili
Mtoa mada ndicho alichofanyiwa huwa wana Target Biashara mpya na kwenye huduma za uwakala pia. Pesa ukipokea kwa mteja huwa hairudishwi ni either achukue alichonunua au aondoke mkianza kurudishiana pesa kuna mianya ya utapeli au kupeqa Pesa feki.Kwa hiyo ni kweli unathibitisha kwamba alivyokulipa hela kwa mara ya kwanza ukamrudishia hela kisha baadae akakulipa tena?kama ni hivyo hakuna chuma ulete hapo alikuzidi ujanja tu wa kukuzubaisha
Sasa kama haijatimia unafanyaje na unamwambia haijatimia anakwambia lete tuhesabuMtoa mada ndicho alichofanyiwa huwa wana Target Biashara mpya na kwenye huduma za uwakala pia. Pesa ukipokea kwa mteja huwa hairudishwi ni either achukue alichonunua au aondoke mkianza kurudishiana pesa kuna mianya ya utapeli au kupeqa Pesa feki.
Lipa Namba now days hawana tofauti na code namba za kutolea pesa....so makato yapo sawa tuuu.weka lipa namba
weka lipa namba
Au chumvi ya maweAbra kadabra... uwe unaweka mkaa sehemu unayoweka noti ya mauzo.