A
Amtangulize mungu tena wakati mwenye chuma ulete naye anamtanguliza mungu.hii dunia tutazikwa tumechoka kwakweli.maombi yalitiki kwa mwenye chuma ulete.😴😴😴Huyo alitumia chuma ulete Sasa Ili kuepuka Hilo tatizo lisijirudie Tena fanya yafuatayo:
✓Mtangulize mungu Kila unapofungua biashara yako pamoja na kufunga.
✓Sehemu ambayo unaweka pesa Aidha ya mauzo au akiba yako hakikisha umeweka punje za kitunguu swaum kilichomenywa kuanzia mbili na kuendelea.
✓weka mkaa pia kwenye pesa za mauzo au akiba
✓weka ndulele wengine huita mtula tula kwenye hizo pesa zako za mauzo.
NB:
Itapebdeza sana kama ukipata vitu vyote hivyo tajwa hapo juu na ukavichanganya kwa pamoja.