Biashara ndo zinachangamoto hivi aisee? Msaada tafadhari

Biashara ndo zinachangamoto hivi aisee? Msaada tafadhari

A
Huyo alitumia chuma ulete Sasa Ili kuepuka Hilo tatizo lisijirudie Tena fanya yafuatayo:
✓Mtangulize mungu Kila unapofungua biashara yako pamoja na kufunga.
✓Sehemu ambayo unaweka pesa Aidha ya mauzo au akiba yako hakikisha umeweka punje za kitunguu swaum kilichomenywa kuanzia mbili na kuendelea.
✓weka mkaa pia kwenye pesa za mauzo au akiba
✓weka ndulele wengine huita mtula tula kwenye hizo pesa zako za mauzo.
NB:
Itapebdeza sana kama ukipata vitu vyote hivyo tajwa hapo juu na ukavichanganya kwa pamoja.
Amtangulize mungu tena wakati mwenye chuma ulete naye anamtanguliza mungu.hii dunia tutazikwa tumechoka kwakweli.maombi yalitiki kwa mwenye chuma ulete.😴😴😴
 
Mam
Y

Yani watu mnaongea kwamb nilihesabu vibaya bro ndo hela zote hizo nishindwe kustuka laki mbili na 77 nishindwe kujua kama hela hii haijatimia yani mtu akupe laki alafu uhesabu vibaya eti upate laki tatu na 87 kweli
Mambo ya kichawi maliza kichawi,ya dini maliza kidini.zindika drawer yako yahela.utapigwa sana
 
A

Amtangulize mungu tena wakati mwenye chuma ulete naye anamtanguliza mungu.hii dunia tutazikwa tumechoka kwakweli.maombi yalitiki kwa mwenye chuma ulete.😴😴

Hoja ya msingi ipo hapo kwenye bold,labda kama ”mungu” lakini kama ni ”Mungu" hivyo vingine ulivyoorodhesha hapo havihitajiki.

Mleta mada kuwa na utaratibu baada ya kumuuzia mteja mzigo pesa zake usizichanganye na nyingine (unaweza ukazifunga na rubber band kuzitenga na nyingine) hii itajenga kumbukumbu zako vizuri zaidi kwamba hela fulani ilikuwa hivi na hata ikitokea umeitumia ni rahisi kukumbuka,labda ulipopokea hiyo hela kuna malipo ulifanya ndiyo maana hesabu zimepotea.k

Hoja ya msingi ipo hapo kwenye bold,labda kama ”mungu” lakini kama ni ”Mungu" hivyo vingine ulivyoorodhesha hapo havihitajiki.

Mleta mada kuwa na utaratibu baada ya kumuuzia mteja mzigo pesa zake usizichanganye na nyingine (unaweza ukazifunga na rubber band kuzitenga na nyingine) hii itajenga kumbukumbu zako vizuri zaidi kwamba hela fulani ilikuwa hivi na hata ikitokea umeitumia ni rahisi kukumbuka,labda ulipopokea hiyo hela kuna malipo ulifanya ndiyo maana hesabu zimepotea.
Kupanga ni kuchagua.. na Kila mtu ana perception zake.
Atachagua njia mojawapo ya ku escape tatizo lisijirudie Tena kati ya hizo.
 
A

Amtangulize mungu tena wakati mwenye chuma ulete naye anamtanguliza mungu.hii dunia tutazikwa tumechoka kwakweli.maombi yalitiki kwa mwenye chuma ulete.😴😴😴
Ndio Mungu ana
A

Amtangulize mungu tena wakati mwenye chuma ulete naye anamtanguliza mungu.hii dunia tutazikwa tumechoka kwakweli.maombi yalitiki kwa mwenye chuma ulete.😴😴😴
Unataka afanyaje Sasa?utajuaje Kama siku hiyo huenda hakumtanguliza mungu na adui alifanya na akamshnda.
Kwa sababu mungu humgawia mtu anayeMtii na asiyemtii hapa duniani ila siku ya qiama atamgawia yule aliyekuwa akimtii peke yake.
Kwa maana hiyo vita ya nguvu za giza ni kubwa mno yani unapigana na adui humuoni

one mistake one goal
 
Mimi ni mfanya biashara mgeni kwenye nafaka sasa na leo ni siku ya pili kwenye hii biashara yangu.

Kasumba niliyokutana nayo wadau ni kwamba kuna mteja alikuja kununua mchele kilo 170 na unga ndogo tatu thamani ya shilling laki tatu na 87. Ile hela kanipa nimehesabu kwa macho yangu imetimia nikaweka mfukoni. Nikampakilia mzgo wake. Huyo mteja anatokea chamanzi kwa maelezo yake. Basi kashaondoka nahesabu tena ile hela nakuta ni laki moja na elfu kumi yanii laki mbilii na 77 haipo.

Dah wenye uzoefu wanifafanulia jamaa katumia njia ipi kuniibia hela nyingi kiasi kile na mimi mwenyewe hata sikushtuka hivi huwa wanatumia dawa hawa matapelii msaada please? kama imewahi kukutokea naomba experience yako hapa.
Wana ukunjaji fulani wa noti ambao ukihesabu haraka haraka unaliwa. Dawa ni utulivu unapopokea ( matapeli wana mtindo wa kukuondoa concentration kwa kukuzungumzisha au kujifanya wana haraka) na kuhakikisha unaiona kila noti ikiwa kamili.
Pole sana.

Amandla...
 
Kama huna uzoefu na chuma ulete na kama haijakutokea tulia kaa kimya hata mambo yapo kama hujui kaa kimya soma comments
 
Mimi ni mfanya biashara mgeni kwenye nafaka sasa na leo ni siku ya pili kwenye hii biashara yangu.

Kasumba niliyokutana nayo wadau ni kwamba kuna mteja alikuja kununua mchele kilo 170 na unga ndogo tatu thamani ya shilling laki tatu na 87. Ile hela kanipa nimehesabu kwa macho yangu imetimia nikaweka mfukoni. Nikampakilia mzgo wake. Huyo mteja anatokea chamanzi kwa maelezo yake. Basi kashaondoka nahesabu tena ile hela nakuta ni laki moja na elfu kumi yanii laki mbilii na 77 haipo.

Dah wenye uzoefu wanifafanulia jamaa katumia njia ipi kuniibia hela nyingi kiasi kile na mimi mwenyewe hata sikushtuka hivi huwa wanatumia dawa hawa matapelii msaada please? kama imewahi kukutokea naomba experience yako hapa.
Hahahahaaha unatakiwa kuhesabu moja moja, wewe ulipigwa
 
Huyo kakuchezea kanyambazongo, chuma ulete ni uvivu wa kufikiri wa wafanyabiashara wengi, na uvivu wa kufanya jesabu zitiki.
Akipata loss hataki kukumbuka alipokosea bali anakazana ni chuma ulete.

Jamaa kacheza na akili yako na si ajabu anajua wewe ni mgeni hapo, kacheza na fursa, kakuvuruga mwisho kakupiga kiulaini kabisa.

Next time kua makini unapohesabu pesa.
 
Mimi ni mfanya biashara mgeni kwenye nafaka sasa na leo ni siku ya pili kwenye hii biashara yangu.

Kasumba niliyokutana nayo wadau ni kwamba kuna mteja alikuja kununua mchele kilo 170 na unga ndogo tatu thamani ya shilling laki tatu na 87. Ile hela kanipa nimehesabu kwa macho yangu imetimia nikaweka mfukoni. Nikampakilia mzgo wake. Huyo mteja anatokea chamanzi kwa maelezo yake. Basi kashaondoka nahesabu tena ile hela nakuta ni laki moja na elfu kumi yanii laki mbilii na 77 haipo.

Dah wenye uzoefu wanifafanulia jamaa katumia njia ipi kuniibia hela nyingi kiasi kile na mimi mwenyewe hata sikushtuka hivi huwa wanatumia dawa hawa matapelii msaada please? kama imewahi kukutokea naomba experience yako hapa.
Chai
 
weka lipa namba
😁😁
Mzungu huwa ana solution zisizohitaji akili nguvu nyingi, hapo hata aje na dawa gani hachukui hela.

Ni vile tu kwa Tanzania e-transactions bado hazijazoeleka sana, ila hii ni kiboko hata kwa wafanyakazi wezi, yaani hela inaenda moja kwa moja bila kupita mkononi.
 
Pesa hairogeki mkuu acha mawazo ya enzi za giza, then punguza wenge kwenye biashara na uongeze umakini inapo hesabu noti...
Kama ni swala la kuhesabu tu limesababisha haya yote sidhani kama ni kukosa umakini tu, labda tuseme ni ujinga.

Ukose umakini kwa kiwango cha kutokugundua upungufu wa noti saba (70K).? Haiingii akili kabisa. 😁
 
Huyo alitumia chuma ulete Sasa Ili kuepuka Hilo tatizo lisijirudie Tena fanya yafuatayo:
✓Mtangulize mungu Kila unapofungua biashara yako pamoja na kufunga.
✓Sehemu ambayo unaweka pesa Aidha ya mauzo au akiba yako hakikisha umeweka punje za kitunguu swaum kilichomenywa kuanzia mbili na kuendelea.
✓weka mkaa pia kwenye pesa za mauzo au akiba
✓weka ndulele wengine huita mtula tula kwenye hizo pesa zako za mauzo.
NB:
Itapebdeza sana kama ukipata vitu vyote hivyo tajwa hapo juu na ukavichanganya kwa pamoja.
Hii ya mkaa naskia ni nzur..mm nawekaga mkaa kwenye wallet yangu
 
Biashara ni challenge sana aisee. Ndio maana ukiwaza sana unaona ni Bora kuajitiwa tu
 
Hakuna kitu kinaitwa chuma ulete kwenye biashara,huwezi kuibiwa pesa kimazingara bila kuitoa mwenyewe pasipo kujua..kinachotokea huwa mara nyingi ni wenge la mfanyabiashara ndio linatumika kumuibia..kinachofanyika ni kwamba.unakuta mtu amekulipa tayari malipo yako halafu anajifanya amekuzidishia hela na wewe tayari umeshazihesabu na kuona zimetimia.ukimrudishia atazibadilisha na kukupa zilizokunjwa kwa ustadi kama zile alizokupa mwanzo..na kwa kuwa unawenge la mauzo hautazihakikisha tena hapo ndipo kipigo kinapokuhusu
 
Back
Top Bottom