Saad30
JF-Expert Member
- May 26, 2020
- 2,737
- 5,464
Mambo vipi wakuu.
Wewe umeweka mtaji wako wa milion 10 dukani kwako.
Jirani yako ameweka mtaji WA milion 30.
Unaamua kwenda Kwa mganga alafu mganga baada ya kukuchekia Ramli yako anakwambia njoo na jogoo mwekundu na Nazi Saba kwajili ya kufungua.
Mwenzio anaenda Kwa mganga anaambiwa inabidi utoe kafala la mnyama kondoo au mbuzi.Jamaa anaamua kutoa Ng'ombe kabisa.
Sasa wewe mganga wako wa Kuku na Nazi ataongea nini hapo kwenye Ng'ombe?
Unaamua kufungua biashara au kuuza kabisa na kuhama mtaa au mkoa.Jirani anakusanya wateja wote kwakwe na Maisha yanaendelea.
Uchawi unazidiana Nguvu Bana.
Biashara inataka Dua Sana.
Wewe umeweka mtaji wako wa milion 10 dukani kwako.
Jirani yako ameweka mtaji WA milion 30.
Unaamua kwenda Kwa mganga alafu mganga baada ya kukuchekia Ramli yako anakwambia njoo na jogoo mwekundu na Nazi Saba kwajili ya kufungua.
Mwenzio anaenda Kwa mganga anaambiwa inabidi utoe kafala la mnyama kondoo au mbuzi.Jamaa anaamua kutoa Ng'ombe kabisa.
Sasa wewe mganga wako wa Kuku na Nazi ataongea nini hapo kwenye Ng'ombe?
Unaamua kufungua biashara au kuuza kabisa na kuhama mtaa au mkoa.Jirani anakusanya wateja wote kwakwe na Maisha yanaendelea.
Uchawi unazidiana Nguvu Bana.
Biashara inataka Dua Sana.