TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
Habari JF!
Nimekutana na mshikaji mmoja hivi ananambia kwamba biashara ni pasua kichwa na kashabadilisha biashara kama tano ndani ya mwezi huu.
Vipi mdau, je na wewe umebadilisha biashara ngapi au una mpango wa kubadilisha kuendana na muktadha wa wakati?
Nimekutana na mshikaji mmoja hivi ananambia kwamba biashara ni pasua kichwa na kashabadilisha biashara kama tano ndani ya mwezi huu.
Vipi mdau, je na wewe umebadilisha biashara ngapi au una mpango wa kubadilisha kuendana na muktadha wa wakati?