UMUGHAKA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 2,753
- 12,932
Nsikuchoshe na Usinchoshe,Tusichoshane!
Nimesikia mnatamba ya kwamba kwasasa hata aje nani atapigwa tu!
Tunaomba hadi tarehe 19 ya mwezi Ujao huyo Mpanzu awe amepewa vibali vya Kucheza maana hatutaki visingizio siku hiyo!
Zikipungua sana siku hiyo zitakuwa 5!
Soma Pia: FT: Simba SC 3-1 Al Ahly Tripoli | CAFCC | 2nd Leg | Benjamin Mkapa Stadium | 22-09-2024
MUDA UTASEMA
Nimesikia mnatamba ya kwamba kwasasa hata aje nani atapigwa tu!
Tunaomba hadi tarehe 19 ya mwezi Ujao huyo Mpanzu awe amepewa vibali vya Kucheza maana hatutaki visingizio siku hiyo!
Zikipungua sana siku hiyo zitakuwa 5!
Soma Pia: FT: Simba SC 3-1 Al Ahly Tripoli | CAFCC | 2nd Leg | Benjamin Mkapa Stadium | 22-09-2024
MUDA UTASEMA