Hongera sana biashara United,ushauri wangu tengenezeni structure nzuri ya uongozi,mpate viongozi wazuri,viongozi watengeneze mifumo mizuri ya kuendesha timu kwa ushirikiano na wanachama wao,watafute washirika wazuri a.k.a wadhamini,watengeneze miundombinu mizuri angalau viwanja vya mazoezi vya kueleweka,timu iwe na muendelezo isiwe ya msimu.Mwisho washirikiane na viongozi wa mkoa na viongozi wa ccm wakarabati uwanja wa kumbukumbu ya karume,ili mechi za kimataifa za nyumbani wachezee kwenye uwanja wao huo,itasaidia kuvuta mashabiki na kupata angalau fedha kidogo.