Biashara United (Mara) | Special Thread

Biashara United (Mara) | Special Thread

th
 
"E="kuku mweus, post: 28068553, member: 490171"]Wataanza kutoa kejeli kama hawatakua wanashirikishwa
Afu kibaya wengi ni wajita majungu tupu



Hasa yule Mwalimu aliye ipandisha, japo amepewa nafasi katika bench la ufundi, lakini anaonekana hakubaliani na hilo, asipo dhibitiwa ataanza kuingilia majukumu ya Mwalimu...
Anaitwa Mwl mugisha Garibona kama cjakosea Niko tayar kurekebishwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom