Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Kwasababu waumini wa imani hiyo ndio wanaaongoza kwa kukufuru na sisi tumeagizwa kuwakemeaSasa kwanini ulitaja imani ya wengine na si yako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwasababu waumini wa imani hiyo ndio wanaaongoza kwa kukufuru na sisi tumeagizwa kuwakemeaSasa kwanini ulitaja imani ya wengine na si yako?
Najua lengo uuze biashara yako ila hebu nikuambie kitu kimoja usichupe mipaka kisa pesa mtukufu nì Mungu pekeyake hata Yesu tu alikataa kuitwa MwemaSijatumia neno Mtukufu kumaanisha MUNGU bali nimemaanisha mtu ninayekunasibu kwa heshima eneo la biashara kama vile mfalme.
Kumbuka hata wafalme huwa ni watukufu. Na kuna msemo kwenye vitabu vya MUNGU unasema ya kaisari mpe kaisari na ya MUNGU mpe MUNGU, kumaanisha kuna utukufu wa ki' MUNGU na kuna utukufu wa kiulimwengu.
Wazazi wako, mtoto wako mchanga, mkeo na kadhalika wanaweza kuwa watukufu wako tukiwanasibu kibinadamu na sio ki'MUNGU.
So usiwazie vibaya mkuu, sawa?
Wewe mbona imani yako mnaongoza kurushiana majiniKwasababu waumini wa imani hiyo ndio wanaaongoza kwa kukufuru na sisi tumeagizwa kuwakemea
Mmeagizwa na nani?yeye aliyewaagiza ni dhaifu na anashindwa kuwakemea?Kwasababu waumini wa imani hiyo ndio wanaaongoza kwa kukufuru na sisi tumeagizwa kuwakemea
Umewahi kumuona jini?Wewe mbona imani yako mnaongoza kurushiana majini
Mwenyezi Mungu ni dhaifu?Mmeagizwa na nani?yeye aliyewaagiza ni dhaifu na anashindwa kuwakemea?
Kumbe ndiye aliyekuagiza ukashifu imani ya mwenzio?Mwenyezi Mungu ni dhaifu?
Naweza kumuona nikiomba kuoneshwaUmewahi kumuona jini?
Nakurejea mkuu. Naomba nikupigie hesabu.