Atasubiri sana tu, Kama vip amuulize Mke wa bill gates ni lini tutaanza kuokota maiti barabaraniFundi Maiko hapa kashona na anaendelea kushona barakoa za kumwaga, anasema ngojeni kidogo mtazivaa tu..!
Atasubiri sana tu, Kama vip amuulize Mke wa bill gates ni lini tutaanza kuokota maiti barabarani
Zinaumiza masikio zinavuta ujihisi comfortableWakuu Salaam;
Hii kazi ya barakoa na sanitizer imekua kilio tu saivi. Mwanzoni mambo yalikua safi, ukilala ukiamka hela hii hapa, ni tofauti na sasa hivi.
Serikali ingetoa updates za maambukizi ya Corona mara 2 au 3 hivi yenye peak nzuri tu mzigo najua ungeisha maana kipindi cha nyuma kila ikitangaza tu, mauzo na faida ni kemkem.
Sasa hivi ni kilio tu. Nilichukua barakoa 2 niwape rafiki zangu hawakupokea, wakadai wanakereka kuzivaa. Nilichoka.
Kuna hasara inataka kuninyemelea nikiona mchana kweupe. Sasa hii hasara inatakiwa kupita mbali.
Wito wangu umeshaeleweka.
Mfanyabiashara ujali pesa yako na sio afya yakoMAISHA HAYA DAAH, MFANYABIASHARA ANAOMBEA UGONJWA UENDELEE YEYE APIGE PESA
Mtajiju !!!Mjiandae kwa vijembe na maneno yake mafumbo kama mwanamke wa uswahilini
Mtz wa wapi, ni mapichapicha ya kuokoteza mitandaoni.Hivi ni mtanzania huyo dada?
SURE MKUUMfanyabiashara ujali pesa yako na sio afya yako
Huu ushauri ni mzuri. Ni wa kuufanyia kazi.Ushauri tafuta ofisi karibu na Chuo utapiga ela mpaka ukimbie, nishukuru baadae baada ya kupiga hela wanavyofungua
Mkuu huna ushauri mwingine wa kunipa moyo zaidi ya huu ulionipa?B
Barakoa za kushona ndio zimeharibu,tafuta kazi ingine
Mzee na wewe unalia lia?yaaaniiiiiiiiiiiiii
Kila mtu ninayekutana naye ninamuangalia kama fursa kwangu.MAISHA HAYA DAAH, MFANYABIASHARA ANAOMBEA UGONJWA UENDELEE YEYE APIGE PESA
Kwa mazingira niliyonayo haiwezekaniUsijali zipeleke Kenya na uziuze kwa bei isiyokuwa na faida urudishe pesa zako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Kwahiyo tukuamini wewe kuwa bado kuna korona,wewe ni kama nani? Unajua Maana ya. Valid source of information na invalid source ? Wewe ni invalid kwa hiyo lazima tuisikie serikaliSiyo tutakutana mbele, Janga bado halijaisha, usisikilize viongozi.
Hili janga ni kubwa sema basi tu hatujui.
Sijalazimisha mtu kuniamini na ndiyo mana kila mmoja anapambana na mechi zake.Mkuu Kwahiyo tukuamini wewe kuwa bado kuna korona,wewe ni kama nani? Unajua Maana ya. Valid source of information na invalid source ? Wewe ni invalid kwa hiyo lazima tuisikie serikali
Sent using Jamii Forums mobile app