Biashara ya Barakoa na Sanitizer ni kilio tu sasa hivi

Fundi Maiko hapa kashona na anaendelea kushona barakoa za kumwaga, anasema ngojeni kidogo mtazivaa tu..!
Atasubiri sana tu, Kama vip amuulize Mke wa bill gates ni lini tutaanza kuokota maiti barabarani
 
Ila tayari jirani zenu wameshakopa na kupewa za kutosha, so pamoja na maiti kutookotwa ila ndiyo wanagongeana cheeeers, wamefanikiwa!.
Atasubiri sana tu, Kama vip amuulize Mke wa bill gates ni lini tutaanza kuokota maiti barabarani
 
Hiki ni kama kilio cha muuza majeneza.

Wakisema biashara haitoki huwa nakausha tu.
 
Zinaumiza masikio zinavuta ujihisi comfortable
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…