Huu ndo mchanganuo kwa wanaotaka kufanya barbershop kwa mtaji wa miti 20(2M)
👉Utengenezaji wa frame ndani na nje
(unakuta labda furniture tu mule ndani kama miti 5 hivi (5M), tuseme labda (decoration ya jengo Mti NNE(4M) hujanunua madryer labda (2M na vifaa vingine Miti 2(2M),hujaweka bhango kubwa pale nje jiwe 5 (laki 5),
👉bando Air conditional na Feni(M2) quality
Total cost ya huu utengenezaji jumla miti 15 na jiwe 5(15.5M)
👉Location standard Haya tuseme frame kwa mwezi jiwe mbili na kokoto unusu(laki 250) total six month ni mti mmoja na jiwe nusu(1.5M)
15.5M+1.5M=17M
👉3M unabaki kwa ajili ya kodi za serikali na kutafuta wafanyakazi wakali plus promotion+
👉Mauzo vichwa kumi kwa siku tuseme Kila kichwa ni 10k kima cha chini unafunga kilo moja (laki moja)
Jiwe moja kwa mwezi ni (miti mitatu) 3M approximately kwa mwaka ni miti 36(36M)
Malipo kwa wafanyakazi hapa tumia kanuni ya pay them in relation to their production per month (kima cha chini ni miti 3(3M) kwa mwezi basi wewe wape 10% ya production ambayo ni jiwe tatu(laki 3 kwa mwezi vinyozi jiwe mbili(laki Mbili) wadada kwa mwezi jumla mi Mti mmoja kwa mwezi ambayo mshahara kwa mwaka ni miti 12(12M mshahara tu wa wafanyakazi)
Sasa chukua mapato 36M-12M=22M
Chukua hiyo 22M(sales)-7M(expenses+purchases+kodi za serikali +plus kodi ya miezi 6 inayobaki) =15M
Kwahiyo kwa barbershop kwa mwaka utaingiza faida M5 then M10 ndo inarudi miti kumi ya kwanza uliyowekeza then miti kumi nyingine utapata mwaka unaofuata kazi kwako uzuri ni sio biashara inayotembea ipo stationary
Bonus advice 🤣weka madada waliosimama wenye mvuto, shape kali, na wawe na good customer care
👉Usafi ni kipengele muhimu sana☑️
👉Usisahau Mwisho kufanya salary motivation kama business inaenda vizuri
👉Utengenezaji wa frame ndani na nje
(unakuta labda furniture tu mule ndani kama miti 5 hivi (5M), tuseme labda (decoration ya jengo Mti NNE(4M) hujanunua madryer labda (2M na vifaa vingine Miti 2(2M),hujaweka bhango kubwa pale nje jiwe 5 (laki 5),
👉bando Air conditional na Feni(M2) quality
Total cost ya huu utengenezaji jumla miti 15 na jiwe 5(15.5M)
👉Location standard Haya tuseme frame kwa mwezi jiwe mbili na kokoto unusu(laki 250) total six month ni mti mmoja na jiwe nusu(1.5M)
15.5M+1.5M=17M
👉3M unabaki kwa ajili ya kodi za serikali na kutafuta wafanyakazi wakali plus promotion+
👉Mauzo vichwa kumi kwa siku tuseme Kila kichwa ni 10k kima cha chini unafunga kilo moja (laki moja)
Jiwe moja kwa mwezi ni (miti mitatu) 3M approximately kwa mwaka ni miti 36(36M)
Malipo kwa wafanyakazi hapa tumia kanuni ya pay them in relation to their production per month (kima cha chini ni miti 3(3M) kwa mwezi basi wewe wape 10% ya production ambayo ni jiwe tatu(laki 3 kwa mwezi vinyozi jiwe mbili(laki Mbili) wadada kwa mwezi jumla mi Mti mmoja kwa mwezi ambayo mshahara kwa mwaka ni miti 12(12M mshahara tu wa wafanyakazi)
Sasa chukua mapato 36M-12M=22M
Chukua hiyo 22M(sales)-7M(expenses+purchases+kodi za serikali +plus kodi ya miezi 6 inayobaki) =15M
Kwahiyo kwa barbershop kwa mwaka utaingiza faida M5 then M10 ndo inarudi miti kumi ya kwanza uliyowekeza then miti kumi nyingine utapata mwaka unaofuata kazi kwako uzuri ni sio biashara inayotembea ipo stationary
Bonus advice 🤣weka madada waliosimama wenye mvuto, shape kali, na wawe na good customer care
👉Usafi ni kipengele muhimu sana☑️
👉Usisahau Mwisho kufanya salary motivation kama business inaenda vizuri