Biashara ya Bodaboda

Biashara ya Bodaboda

Kwa mahesabu ya Bro hapo juu Faida ya Pikipiki Moja ni 3300/= Kwa Pikipiki 15 tu ni Faida ya 49,500/= Kwa Siku Moja tu. Kwa mwezi mzima una faida ya 1,485,000/=.

Cheers [emoji1635]
Bado ni biashara kichaa,pikipiki 15 mtaji wake ni zaidi ya 30m then upate faida elfu 50 wakati hata duka la Mangi lenye mtaji wa milioni 5 anaweza kupata hiyo faida ya elfu 50 kwa siku.
Chukua 30m ingiza kwenye biashara ya vifaa vya ujenzi hukosi faida ya Laki 3 kwa siku
 
Bado ni biashara kichaa,pikipiki 15 mtaji wake ni zaidi ya 30m then upate faida elfu 50 wakati hata duka la Mangi lenye mtaji wa milioni 5 anaweza kupata hiyo faida ya elfu 50 kwa siku.
Chukua 30m ingiza kwenye biashara ya vifaa vya ujenzi hukosi faida ya Laki 3 kwa siku
Kama nilivyosema mwanzoni ningeamua kuacha kazi na kwenda kufanya mwenyewe uraiani hizi Biashara.

Nimeamua kuendelea na kazi huku Hela ikiendelea kuingia per day, kufanya Kazi yako na huku unaingiza Elfu 50 kama Faida per day unafikiria ni ndogo? Na wakati hiyo biashara inajiendesha kipindi upo kazini.

Kila mtu ana malengo yake na Biashara anayotaka kufanya na faida anayotaka kupata per day.
 
Ushauri wangu kwako ukifanikiwa kununua hizo pikipiki usije kujaribu kutoa kwa mkataba maana baada ya mkataba kuisha hiyo pikipiki inakuwa sio mali yako tena.
Nunua pikipiki mpe kijana awe anakuletea pesa kila siku kama ikatokea akishindwa makubaliano unachukua pikipiki yako.

Ipo hivi ukimpa mtu pikipiki kwa mkataba, kwa siku anatakiwa awe anakuletea elfu 10 na kwa kawaida mkataba huwa ni miezi 13.
Pikipiki mpya unanunua kwa mil 2.8,kwa siku unaletewa elfu 10.
Elfu 10000*30=300,000.
300,000*13=3,900,000
3,900,000-2,800,000=1,100,000

Faida yako kwa miezi 13 ni mil 1.1
Ina maana kwa mwezi unaingiza 84,615/=
Kwa siku unaingiza elfu 2,820/=
Na hapo pikipiki inakuwa sio yako tena.
Unatoa mil 2.8 ili upate faida ya 2,820 kwa siku??? Nakushauri kimbia.
Wengi wanofanya hii biashara ni wavivu na wana upeo mdogo kufikiri.

NB:nunua pikipiki ila usitoe kwa mkataba, tafuta kijana awe anakuletea pesa kila siku akishindwa unachukua chombo yako
Poa
 
Hata mimi nimeshangaa yaani mtaji wa kuanzisha Hardware la vifaa vya ujenzi ukauchezee kununua bodaboda
Mkuu Kuna kitu kinaitwa diversifying, unajua utadharau ila hi biashara naiheshimu Sana.
Nilinunua bajaji namba b kwa 1.8m, mkataba was miezi 15. Kila day 20 so piga hesabu. Sitaki sema mengi ila iko POA Sana maana unapunguza risk
👉Never carry all eggs in one bucket.
 
Bado ni biashara kichaa,pikipiki 15 mtaji wake ni zaidi ya 30m then upate faida elfu 50 wakati hata duka la Mangi lenye mtaji wa milioni 5 anaweza kupata hiyo faida ya elfu 50 kwa siku.
Chukua 30m ingiza kwenye biashara ya vifaa vya ujenzi hukosi faida ya Laki 3 kwa siku
Mkuu duka gani la mangi anayepata faida ya 50000 kwa siku🤔🤔🤔, Mana Kuna wengine kumaliza tu mfuko wa kg25 wa unga per day ni mbindee.
 
mkuu biashara ya boda boda n Kama Una bet huo ndo ukweli
Japo napendelea bajaji, ila boda zinalipa pia.
👉Vipi ushawai fanya, au unasikia kwa watu🤔
👉Kama ndio, ni changamoto zipi zilikukumba.
👉Kufeli kwako, unahisi na wengine itakuwa hivyo??
👉Vipi Kama waki/tukiboresha mbinu na mikakati ili kuendana na changamoto zilizopo🤔🤔
👉 Never say it's impossible coz the word it's self says I'm possible
 
Mkuu usinunue pkpk used ni vichomi kinyama
Nunu fremu weka engine mpyaa hivyo utafanikiw na unawez tumia kiac cha 1M had 1.5 ukawa na pkpk mpyaaa
Nina mwaka mmoja sasa katika hii Biashara.

Mimi Huwa nawapa vijana Pikipiki mpya FEKON Kwa MKATABA Wa miezi 11 au 12. Mahesabu ni 100,000/= Kila baada ya siku 10 yaani Kwa Siku ni hesabu ya 10,000/=.

Vijana wengine sio waaminifu na kweli hamna mtu mkamilifu Kwa asilimia 100% changamoto zipo anaweza kupata dharula, ajali, kuumwa au matatizo binafsi tu. Ambayo Kwa hizo siku 10 anaweza kukuletea 60K au 70K au 80K etc ila Hamna shida Huwa naandika kama deni ambalo baadae Mkataba ukiishi naongea nae Tena mezanii.

Ni Biashara nzuri Kwa maana FEKON Moja inauzwa 2.3M Kwa Faida wewe Utapata sio chini ya 1M Kwa miezi 11 au 1.3M Kwa miezi 12. Ambayo ni sawa na faida ya 100,000/= Kwa Kila mwezi Kwa Pikipiki Moja.

Mwaka Huu nataka nijaribu Kwa kununua Pikipiki USED na nianze kuwapa vijana Pikipiki USED za 1.2M -1.5 Millions Kwa Mikataba ya miezi 7 mpka miezi 8. Ili nitengeneze Faida nyingi Kwa muda mchache na Kwa kutumia Hela ndogo badala ya kununua Pikipiki mpya ya 2.3M.

Changamoto zipo lakini usikate Tamaa, Kila Biashara inachangamoto zake.

Vijana wapo mtaani kwako ni swala la kupeana Mkataba mbele ya mashahidi wa pande zote mbili na Kwa kusainiwa na Mwenyekiti au Mjumbe Wa Kijiji/ mtaa husika.
 
Mkuu usinunue pkpk used ni vichomi kinyama
Nunu fremu weka engine mpyaa hivyo utafanikiw na unawez tumia kiac cha 1M had 1.5 ukawa na pkpk mpyaaa
Bro shukrani Kwa ushauri, naomba nifahamishe vzuri jinsi ya kununua Pikipiki mpya kama FEKON, Boxer, sunray Kwa mawakala Wa Pikipiki nchini.

Nahitaji kufungua fremu/duka nianze kuuza Pikipiki mpya.

Kwa mawakala mnanunua pic ngapi na Kwa bei Gani? Tangia mwaka Jana napambana kutafuta hii connection Kwa mawakala Wa Pikipiki ila nakwama najikuta nanunua tu na kutoa Mikataba.
 
Mkuu usinunue pkpk used ni vichomi kinyama
Nunu fremu weka engine mpyaa hivyo utafanikiw na unawez tumia kiac cha 1M had 1.5 ukawa na pkpk mpyaaa
Nipe connection za mawakala Wa Pikipiki if possible, maana nasikia wanauza Kwa Jumla Kwa idadi ya pic's wanazotaka wao.
 
Bro shukrani Kwa ushauri, naomba nifahamishe vzuri jinsi ya kununua Pikipiki mpya kama FEKON, Boxer, sunray Kwa mawakala Wa Pikipiki nchini.

Nahitaji kufungua fremu/duka nianze kuuza Pikipiki mpya.
Sina uzoefu sana ila jarbu kufata hatu hizi

Nenda kwa super dila
Mwambie unahitaji kuw Agent wa pikpk za kampun yake then atakupa vigezo ambavyo ukitimza nazan utafanikiwa


Mwaka jan nilibiw pkpk zangu 2 nilzokuw natafutia kipato sasa nikanunua pkpk moja SANLG ikanisumbua gafla nikauza

Mwaka huu nimenunua Boxer kijola January had sasa ishameza laki 2 na huu mwak n mgumu kwangu

Nmekuja na wazo jipya nawez kuuzia wew hili wazo

Kwasasa nitanunua fremu za pkpk ambazo nanunua mimi nakagua bodi tuu (najua bei yake haiwez vuka lak 3 - 6 kulingan na bodi ilivyo na hali ya vifaa vingne kasoro engine then na nunua engine mpya 500,000 had 700,000 naweka hapo maisha yanaendalea.
 
Daaaa!!Kweli ni hatari yaani mtaji wa 2.3 milioni ikuletee faida ya tsh.100,000 kwa mwezi sawa na tsh.3300 kwa siku?!!!! Hapana ni uwekezaji usio na afya kabisa!!! Hiyo faida hata mwenye mtaji wa 50000 anaweza pata mala tatu yake kama amewekeza sehemu nzuri.Hata bajaji ni uwekezaji usio na afya kabisa,
Taja uwekezaji wenye afya sawa na mtaji wenye thamani sawa na bodaboda.

Kama hakuna kaa kimya
 
Sina uzoefu sana ila jarbu kufata hatu hizi

Nenda kwa super dila
Mwambie unahitaji kuw Agent wa pikpk za kampun yake then atakupa vigezo ambavyo ukitimza nazan utafanikiwa


Mwaka jan nilibiw pkpk zangu 2 nilzokuw natafutia kipato sasa nikanunua pkpk moja SANLG ikanisumbua gafla nikauza

Mwaka huu nimenunua Boxer kijola January had sasa ishameza laki 2 na huu mwak n mgumu kwangu

Nmekuja na wazo jipya nawez kuuzia wew hili wazo

Kwasasa nitanunua fremu za pkpk ambazo nanunua mimi nakagua bodi tuu (najua bei yake haiwez vuka lak 3 - 6 kulingan na bodi ilivyo na hali ya vifaa vingne kasoro engine then na nunua engine mpya 500,000 had 700,000 naweka hapo maisha yanaendalea.
Ukifunga fremu ya Pikipiki na kuweka engine mpya utaitoa Kwa MKATABA au inakuwa Mali yako ya kutembelea.
 
Back
Top Bottom