Nikutie moyo mkuu, hii biashara nzuri sana na tunapambana nayo, mimi ninazo 5 Kinglion mpya kabisa. Nimeenda nazo kwa mkataba na kwa mwezi jumla zinarejesha 1.5M
Pikipiki moja ni 2.6M mpaka inakaa barabarani, mkataba miezi 14, pesa yangu inarudi miezi nane, na miezi sita ni faida.
Mimi sijui kama haina faida ninachojua pesa ya pikipiki yote ipo bank na ikifika mwisho wa mwezi nachota iliyopo naweka Fixed account
Sijawahi tumia hata mia ya hii pikipiki (mfanyakazi serikalini) zikimaliza mkataba nitaagiza ndinga yangu maana ndo malengo
Make sure pesa hawakupi mkononi, iweke bank na uwekeze kweli usitangulize njaa.
Mahesabu ya boda natunza kwenye google sheet.
View attachment 2553138