Biashara ya bonanza, dubwi

Mimi siendishi gari na wala cjui kuendesha gari, mimi niko nawafanyia hesabu zao tu
Hapo kwenye hesabu uongo sema unapanga token na kutafuta site dogo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Basi Kama huamini
Dpk akuna mchina anaepgiwa hesabu labda ww useme Huwa mnatembea wa3 kwenye gari ww unapanga token na kutafuta site na kusolve misala ikitokea lkn hawawez kukuajr et Kaz Yako kupanga token tu NEVER
 
Dpk akuna mchina anaepgiwa hesabu labda ww useme Huwa mnatembea wa3 kwenye gari ww unapanga token na kutafuta site na kusolve misala ikitokea lkn hawawez kukuajr et Kaz Yako kupanga token tu NEVER
Silazimishi mtu kuamini, uo mtazamo wako lkn uo ndo uhalisia niliosema
 
Siku nikiacha kazi kwa Hawa jamaa nitaonesha document za kuprove faida wanazopata kila mwezi, hlf tuwaone sasa mnakomenti tena, nione mtasemaje.
 
Siku nikiacha kazi kwa Hawa jamaa nitaonesha document za kuprove faida wanazopata kila mwezi, hlf tuwaone sasa mnakomenti tena, nione mtasemaje.
Unajua wanalipa asilimia ngap? Kwa mwenye kampuni Kila mwezi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…