Biashara ya bucha ya nyama ya ngombe-bunju b mapwepande

Biashara ya bucha ya nyama ya ngombe-bunju b mapwepande

Mshimba1971

Member
Joined
Dec 13, 2021
Posts
75
Reaction score
67
Ndugu zangu,


Kutokana na kuhamishiwa kikazi mkoani katavi, sina jinsi zaidi ya kuiuza biashara yangu ya bucha ya nyama ya ngombe, iliopo eneo la bunju b mabwepande(off mabwepande road).


Bucha hii ni mpya na tulifikia mauzo ya kg 50-60 kwa siku. Inauzwa kwa bei ya millioni mbili (2 millioni tu), nakuachia frame pamoja na vifaa vya bucha.


Ina vifaa vifatavyo;


Frame (ina mlango wa alminium/vioo na iko branded)
Friza kubwa
Hooks za kuninginizia nyama
Mzani wa digital
Frame imewekewa tiles ukutani(nyeupe).
Gogo la kukatia nyama
Shoka na visu
Meza ya kukatia nyama
Kodi ya frame ni tshs. 40,000 kwa mwezi (nimelipia kodi mpaka mwezi wa 3,2022).


Hii ni biashara yenye potential kubwa sana kwani ni eneo linakua sana na hakuna huduma ya bucha zaidi ya hii yangu.


Pia kuna maitaji ya samaki,nyama ya kuku,sousage, mayai na maziwa, ambavyo unaweza kuongeza kwenye biashara hii.


Karibu kwa mazungumzo, piga 0759 819 819
 
Faida yake inakuwaje mkuu kwa mfano hizo kilo 50 napata faida ya shilingi ngapi kwa wastani
 
Mkuu hii bucha yetu ina umri gani?

Una rekodi za mauzo kwa muda wote wa uhai wa bucha yetu?
 
NDUGU ZANGU,

KUTOKANA NA KUHAMISHIWA KIKAZI MKOANI KATAVI, SINA JINSI ZAIDI YA KUIUZA BIASHARA YANGU YA BUCHA YA NYAMA YA NGOMBE, ILIOPO ENEO LA BUNJU B MABWEPANDE(OFF MABWEPANDE ROAD).

BUCHA HII NI MPYA NA TULIFIKIA MAUZO YA KG 50-60 KWA SIKU. INAUZWA KWA BEI YA MILLIONI MBILI (2 MillIONI TU), NAKUACHIA FRAME PAMOJA NA VIFAA VYA BUCHA.

INA VIFAA VIFATAVYO;

  1. FRAME (INA MLANGO WA ALMINIUM/VIOO NA IKO BRANDED)
  2. FRIZA KUBWA
  3. HOOKS ZA KUNINGINIZIA NYAMA
  4. MZANI WA DIGITAL
  5. FRAME IMEWEKEWA TILES UKUTANI(NYEUPE).
  6. GOGO LA KUKATIA NYAMA
  7. SHOKA NA VISU
  8. MEZA YA KUKATIA NYAMA
  9. KODI YA FRAME NI TSHS. 40,000 KWA MWEZI (NIMELIPIA KODI MPAKA MWEZI WA 3,2022).

HII NI BIASHARA YENYE POTENTIAL KUBWA SANA KWANI NI ENEO LINAKUA SANA NA HAKUNA HUDUMA YA BUCHA ZAIDI YA HII YANGU.

PIA KUNA MAITAJI YA SAMAKI,NYAMA YA KUKU,SOUSAGE, MAYAI NA MAZIWA, AMBAVYO UNAWEZA KUONGEZA KWENYE BIASHARA HII.

KARIBU KWA MAZUNGUMZO, PIGA 0759 819 819
Pamoja na kuwa Bucha iko eneo mhimu na wewe pekee ndo ulikuwa katika eneo hilo, je mwelekeo au uhalisia wa faida ukoje? Pamoja na kuuza kg 50 kwa siku, je ukaaji wa mali hadi kumalizika ilikuwa inachukua muda gani?
Je ulikuwa unasafirishiwa nyama kutoka machinjio yapi kwa gharama zipi?
Naomba ufafanuzi mkuu, vinginevyo inaonekana ni biashara nzuri.
 
NDUGU ZANGU,

KUTOKANA NA KUHAMISHIWA KIKAZI MKOANI KATAVI, SINA JINSI ZAIDI YA KUIUZA BIASHARA YANGU YA BUCHA YA NYAMA YA NGOMBE, ILIOPO ENEO LA BUNJU B MABWEPANDE(OFF MABWEPANDE ROAD).

BUCHA HII NI MPYA NA TULIFIKIA MAUZO YA KG 50-60 KWA SIKU. INAUZWA KWA BEI YA MILLIONI MBILI (2 MillIONI TU), NAKUACHIA FRAME PAMOJA NA VIFAA VYA BUCHA.

INA VIFAA VIFATAVYO;

  1. FRAME (INA MLANGO WA ALMINIUM/VIOO NA IKO BRANDED)
  2. FRIZA KUBWA
  3. HOOKS ZA KUNINGINIZIA NYAMA
  4. MZANI WA DIGITAL
  5. FRAME IMEWEKEWA TILES UKUTANI(NYEUPE).
  6. GOGO LA KUKATIA NYAMA
  7. SHOKA NA VISU
  8. MEZA YA KUKATIA NYAMA
  9. KODI YA FRAME NI TSHS. 40,000 KWA MWEZI (NIMELIPIA KODI MPAKA MWEZI WA 3,2022).

HII NI BIASHARA YENYE POTENTIAL KUBWA SANA KWANI NI ENEO LINAKUA SANA NA HAKUNA HUDUMA YA BUCHA ZAIDI YA HII YANGU.

PIA KUNA MAITAJI YA SAMAKI,NYAMA YA KUKU,SOUSAGE, MAYAI NA MAZIWA, AMBAVYO UNAWEZA KUONGEZA KWENYE BIASHARA HII.

KARIBU KWA MAZUNGUMZO, PIGA 0759 819 819

There is more into this, Kama inalipa vizuri, Kuhamia katavi kikazi haliwezi Kuwa tatizo!
 
There is more into this, Kama inalipa vizuri, Kuhamia katavi kikazi haliwezi Kuwa tatizo!
Inawezekana sana, mimi nilijaribu nikaria, bucha au biashara inaitaji usimamizi, ukiwa mkoa imekula kwako, vijana wanaleta nyama yao wanakumbia biashara mbaya,ukiuliza majirani wanakumbia mbona vijana nyama nlwanauza sana?
 
Inawezekana sana, mimi nilijaribu nikaria, bucha au biashara inaitaji usimamizi, ukiwa mkoa imekula kwako, vijana wanaleta nyama yao wanakumbia biashara mbaya,ukiuliza majirani wanakumbia mbona vijana nyama nlwanauza sana?


Naelewa; unaondoka Lini? Nafikir napenda nije J4 nione?
 
Back
Top Bottom