Punjab Singh
JF-Expert Member
- Jan 14, 2014
- 955
- 651
Which one?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania zipo maabara za kupima hivyo vyakula vya mifugo
Unamaanisha nini pumba za muhugo ?Heshima mbele kwa members woote wa JF, nilipenda kuwapeni tahalifa kuwa kama kuna wategenezaji wa. Chakula cha mifugo na wafugaji napenda kuwatahalifu kuwa tunategeneza pumba za muhogo zaidi ya ton 2 kwa siku zipo fresh na ambazo zimekahuka kama kuna mtegenezaji kama kuna mfugaji au mtgenezaji wa chakula cha mifugo tunawakaribisha kununua toka kwetu waweza ku pm
Najua TFDA wanaweza kufanya kitu kama hiki (kupima nutritional value ya chakula chochote..) lakini bei zao huenda zikawa juu na kwa chakula cha mifugo huenda isiwe cost effectiveTanzania zipo maabara za kupima hivyo vyakula vya mifugo
Tanzania zipo maabara za kupima hivyo vyakula vya mifugo
Interesting
Thanks Singh,
Ur input will be much appreciated, vipi una mchango au ushauri wowote Mkuu?
Sidhani kama zipo na kama zipo ni ubabaishaji mtupu!Tanzania zipo maabara za kupima hivyo vyakula vya mifugo