Biashara ya chapati inakuja kwa kasi; Kuipiku biashara ya viepe!

Biashara ya chapati inakuja kwa kasi; Kuipiku biashara ya viepe!

Usiku
Chapati mbili+supu bila nyama=1000
Mchana
Wali Maharage+samaki=1500
Asubuhi
Chai+mihogo=500
Total=3000,Mshahara 200000,akiba 100000@mwezi*12=investment kumbe maisha rahisiiii!
Vocha, usafiri, kodi ya Nyumba, huduma za maji na umeme. Huduma ya afya just in case, mavazi. Akiba itabaki sh 50 na senti mbili.
 
Vocha, usafiri, kodi ya Nyumba, huduma za maji na umeme. Huduma ya afya just in case, mavazi. Akiba itabaki sh 50 na senti mbili.
Vocha=1000 halichachi
Usafiri=lift au natembea kwa miguu
Nyumba=5000tunashare
Maji=500
Afya= mitishamba bure
Mavazi=Mwaka nanunua mara mbili zile ngumuuu na kumbuka mateso haya ni muda mfupi tu
 
Chapati mzuka sana tena upate anaejua kuzitengeneza vizuri ziwe kavu na laini ukipata na rosti yako ya filigisi na Sato wako mmoja mkuubwa alie mkavu ni noma.
 
Anaejua namba Uganda wanavyopika ROLEX angetujuza kidogo maana ni fusrsa hiyo...
 
Anaejua namba Uganda wanavyopika ROLEX angetujuza kidogo maana ni fusrsa hiyo...
Rolex-recipe-folding-photo-by-Rachel-Peet.jpg
 
Biashara hii kwa wazee wa night hasa weekend ukiwa ushakula balimi kadhaa na faru John, sidhani kama chapoo itapanda, ni mwendo wa chips yai au kuku pembeni kama vip mishikaki na mbuzi choma bila kusahau mbuzi maarufu wa katoliki
 
Back
Top Bottom