Tempus Fugit
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 850
- 2,212
Nimekuelewa sana Mr zero IQ ubarikiwe umenitia moyoMchanganuo wa biashara ni huu
Kwanza kabisa vifaa vyake muhimu
1: ile kabati ya kuhifazia chipsi inatakiwa iwe kubwa kiasi ngazi mbili au tatu itapendeza zaidi hapo kiasi ni 150k-250k
2:majiko mawili moja ya kuivishi chipsi nyingine ya kuchomea chipsi mayai mishikai N. K, hapo kila jiko itakost kuanzia 35k--45 kwa hiyo total pigia tu 90K,
3:vifaa vidogo vidogo kuna karai 10k--15k,sahani Dz 1 au 2 fanya 10K,koleo 3k,flampeni 2 5k, beseni dogo na kichujio chake kwa ndani 10K, vitu vidogo vidogo fanya 15K,
4:uje kwenye mazaga yenyewe.
Viazi gunia inategemeana na eneo ila bei kuanzia 45k--60,mafuta ya kula ndoo ndogo 30k,mkaa gunia moja inategemeana na eneo ila approximately ni 25k--40k,mayai tray 3 24K
Kwa kifupi kama hauna kifaa ata kimoja unatakiwa usiwe na chini ya 500k, na hapa ni kibanda tu cha kishkaji.
Faida zake,
Chipsi zina faida sana mkuu kama ukikaa location inayoeleweka inayoweza kumaliza kuanzia nusu gunia la viazi mpaka gunia moja na uwe na msimamizi imara huwezi kosa kuanzia 25k--45k kwa siku kama faida,
Hapo weka vyuku vyuku mishikaki,juice na N.k faida inakuwa mara dufu
Warning.
Usiwe na masihara ya kucheka na mademu, zingatia kipimo chako usisikie ya mteja anasema nini eti chipsi sishibi sijui chache mwambie aongeze hela umjazie.
Kuna kingine mkuu hapo ni kwa haraka haraka tu
CC Zero IQ
Umenena mkuu...ndugu yetu tufanye angekua na mawazo kama ma 5
kaja JF kakutana na kila mtu anaponda wazo lake kwa point
yeye kwakua kashaamua kusikiliza wana JF usiku angetia X wazo la chips
siku inayofata anakuja na Thread ingine ya wazo no.2 angesikiliza tena maoni
Angeendelea na utaratibu huo mwisho katka yale mawazo ma 5 angechomoka na 1
Ambalo limepata kura Nyingi huku JF kulingana na alivyokua akihitaji yeye.
Ila kuwa na wazo 1 ni sawa na Mtu kaamua kufanya biiashara kakodi frem ya 1M kwa mwezi
badala aitumie frem kuweka biashara tofauti za kuingiza pesa,eti kagandana na biashara ya Nguo tu
kisa ndio biashara aliyokodia frem,Huyu mtu nguo zisiponunuliwa lazima alie kilio cha mbwa wakati
angeweza ongeza biashara nyingiine auze hapo hapo kwenye duka lake la nguo mambo yakaenda
Nguo zikigoma vitu vingine vinaenda... Kodi inapatikana.
Mi nimeshindwa kuelewa kabisa, kwa wazo lake mbona mkuu Zero IQ amechanganua vizuri tu, siku zote tusiwe man of excuse kwa kuwa most of our problems source ni sisi wenyewe, huruma za dunia hazitufanyi tusonge mbele.Jf ukiitumia vizuri huwezi feli kirahisi
humu watu hutoa maoni yao kulingana na mahitaji unayohitaji
kiukweli chipsi classic huwez ipata katika sehemu ya uwekezaji wa milion 1!
wewe labda ulifeli kuwasilisha wazo
1 Tuwekee huo uzi hapa tuusome na maoni ya wadau yalikuwaje
2 Wewe ungeomba msaada tu, unamilion moja mchanganuo wa biashara ya chipsi ungepewa maelekezo ya banda na vifaa vyake muhimu kulingana na pesa yako
Uko sahihi chips classic huliwa na watu classic ambao hupatikana maeneo classic na huishi maeneo classic mfano Steers hupika chips classic kwa ajili ya watu classic.Kupata eneo classic ,vyombo classic vya kupikia na kuhudumia classic na eneo classic hiyo milioni moja Sio hella hamna kitu hapo.Huo mtaji wako hauendani na wazo lako wazo kubwa mtaji sifuri
Hatari sana Mkuu,Hela haitoshi kwa classic chips,zile chips zinahitaji kwa haraka haraka deepfryer,showcase ambayo inakuwa na warmer ama uwe na microwave,
unahitaji deepfreezer,most chips joint huwa wanazifroze chips na kuhifadhi katika deepfreezer na mteja anapokuja frozen chips ndo huwekwa kwenye deepfryer,hii ni kutaka mteja ale chips quality ambazo hazijapoa na chips ambazo zinakuwa frozen zikiwa fryed zinakuwa na quality nzuri kama za macdonald,juu zinakuwa na crisp,sio hizi chips za mitaani ukiishika mkononi inajikunja kama uume ambao haujasimama,
chips ikishikwa mkononi inatakiwa kuwa wima,na na inakuwa na rangi fulani hivi golden
Watu mnajuwa kuweka uchawi kwenye mawazo ya watu. Jlitaka aanze na mil 10Uko sahihi chips classic huliwa na watu classic ambao hupatikana maeneo classic na huishi maeneo classic mfano Steers hupika chips classic kwa ajili ya watu classic.Kupata eneo classic ,vyombo classic vya kupikia na kuhudumia classic na eneo classic hiyo milioni moja Sio hella hamna kitu hapo.Huo mtaji wako hauendani na wazo lako wazo kubwa mtaji sifuri
Umesema kitu cha kweli....Hela haitoshi kwa classic chips,zile chips zinahitaji kwa haraka haraka deepfryer,showcase ambayo inakuwa na warmer ama uwe na microwave, unahitaji deepfreezer, most chips joint huwa wanazifroze chips na kuhifadhi katika deepfreezer na mteja anapokuja frozen chips ndo huwekwa kwenye deepfryer, hii ni kutaka mteja ale chips quality ambazo hazijapoa na chips ambazo zinakuwa frozen zikiwa fryed zinakuwa na quality nzuri kama za macdonald, juu zinakuwa na crisp,sio hizi chips za mitaani ukiishika mkononi inajikunja kama uume ambao haujasimama. Chips ikishikwa mkononi inatakiwa kuwa wima,na na inakuwa na rangi fulani hivi golden.
Ila usiwalaumu waliokukatisha tamaa walikuwa wanatoa maoni yao juu ya hii biashara na sidhani kama lengo lao ilikuwa nikukukomesha bila ni kushare kile wanachokijua...wakuu
Ni miezi sita sasa imepita tangu nilipojitokeza hapa jamvini nikiwa na kiasi cha shilingi milion 1 pesa nikiwaomba mnipatie muongozi wa kufungua banda la chipsi zenye ubora wa kiwango cha juu na kukamata soko dhidi ya wapinzani wanouza chipsi locally
Aiseeeee, nilijuta na mpaka sasa najutia uamuzi wangu wa kulileta lile bandiko langu humu
Kiukwrli sikuweza kuendelea na lile wazo kwasababu wananchi wengi humu walinipinga na kunikatisha tamaa sana kwamba wazo halitekelezeki, hii ilinikatisha tamaa
Ile pesa niliamua kutulia nayo, hii ndio ilikua mistake kubwa
pesa haitulii kabisa, nilijaribu kuituliza lakini wapi mwishowe yote ikapukutika kwa sababu tu ya ushauri butu wa wajf walionikatisha tamaa
mbaya zaidi kilichosababisha nilete mrejesho humu, leo nimekatiza ile mitaa niliyokuwa naiplan kufungua ile biashara nimekuta mtu mwingine amefungua biashara ileile ya chipsi tena kama kahamisha mawazo yangu na kuyatekeleza
nimejaribu kumuuliza ni kiasi gani kainvest kasema kaweka milion 1 tu, hii imeniuma sana
Nimeamua kula chips kuku tena tamu kweli na kuishia kufyonya tu huku nikikumbuka michango ya wadau wa humu
Humu kuna watu hawapendi wengine tufanikiwe!
Humu kuna watu wanajifanya ni wataalamu wa kila kitu
Humu kuna watu kila uzi lazima wakoment
Tafadhalini sana, Jf tutoe mawazo bora na kujenga na si kukatishana tamaa kiboya tu na kuziacha pesa zipigwe na wengine
Ni mitaa gani hiyo mkuuwakuu
Ni miezi sita sasa imepita tangu nilipojitokeza hapa jamvini nikiwa na kiasi cha shilingi milion 1 pesa nikiwaomba mnipatie muongozi wa kufungua banda la chipsi zenye ubora wa kiwango cha juu na kukamata soko dhidi ya wapinzani wanouza chipsi locally
Aiseeeee, nilijuta na mpaka sasa najutia uamuzi wangu wa kulileta lile bandiko langu humu
Kiukwrli sikuweza kuendelea na lile wazo kwasababu wananchi wengi humu walinipinga na kunikatisha tamaa sana kwamba wazo halitekelezeki, hii ilinikatisha tamaa
Ile pesa niliamua kutulia nayo, hii ndio ilikua mistake kubwa
pesa haitulii kabisa, nilijaribu kuituliza lakini wapi mwishowe yote ikapukutika kwa sababu tu ya ushauri butu wa wajf walionikatisha tamaa
mbaya zaidi kilichosababisha nilete mrejesho humu, leo nimekatiza ile mitaa niliyokuwa naiplan kufungua ile biashara nimekuta mtu mwingine amefungua biashara ileile ya chipsi tena kama kahamisha mawazo yangu na kuyatekeleza
nimejaribu kumuuliza ni kiasi gani kainvest kasema kaweka milion 1 tu, hii imeniuma sana
Nimeamua kula chips kuku tena tamu kweli na kuishia kufyonya tu huku nikikumbuka michango ya wadau wa humu
Humu kuna watu hawapendi wengine tufanikiwe!
Humu kuna watu wanajifanya ni wataalamu wa kila kitu
Humu kuna watu kila uzi lazima wakoment
Tafadhalini sana, Jf tutoe mawazo bora na kujenga na si kukatishana tamaa kiboya tu na kuziacha pesa zipigwe na wengine
Milion ilitosha ndugu gunia mbili 120, kukutoa watano 30 mkungu was ndizo 40 mafuta dumu 55 nyama kilo 3 elfu 30 mayai try 5 kwa 45 sahani jijiko umma,flapen,lakugeuzia chips Jag,ndoo, sahani chakukatia kachumbali ,visu haiishi laki,Ila 1mill kwenye biashara kubwa kuliko wengine haitoshi ila kama ana Banda tayari na pia ana vyombo labda iyo 1m ni mtaji wa chakula tu yani Viazi mayai na nk..
Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]wakuu
Ni miezi sita sasa imepita tangu nilipojitokeza hapa jamvini nikiwa na kiasi cha shilingi milion 1 pesa nikiwaomba mnipatie muongozi wa kufungua banda la chipsi zenye ubora wa kiwango cha juu na kukamata soko dhidi ya wapinzani wanouza chipsi locally
Aiseeeee, nilijuta na mpaka sasa najutia uamuzi wangu wa kulileta lile bandiko langu humu
Kiukwrli sikuweza kuendelea na lile wazo kwasababu wananchi wengi humu walinipinga na kunikatisha tamaa sana kwamba wazo halitekelezeki, hii ilinikatisha tamaa
Ile pesa niliamua kutulia nayo, hii ndio ilikua mistake kubwa
pesa haitulii kabisa, nilijaribu kuituliza lakini wapi mwishowe yote ikapukutika kwa sababu tu ya ushauri butu wa wajf walionikatisha tamaa
mbaya zaidi kilichosababisha nilete mrejesho humu, leo nimekatiza ile mitaa niliyokuwa naiplan kufungua ile biashara nimekuta mtu mwingine amefungua biashara ileile ya chipsi tena kama kahamisha mawazo yangu na kuyatekeleza
nimejaribu kumuuliza ni kiasi gani kainvest kasema kaweka milion 1 tu, hii imeniuma sana
Nimeamua kula chips kuku tena tamu kweli na kuishia kufyonya tu huku nikikumbuka michango ya wadau wa humu
Humu kuna watu hawapendi wengine tufanikiwe!
Humu kuna watu wanajifanya ni wataalamu wa kila kitu
Humu kuna watu kila uzi lazima wakoment
Tafadhalini sana, Jf tutoe mawazo bora na kujenga na si kukatishana tamaa kiboya tu na kuziacha pesa zipigwe na wengine
Mtu kama huyu anaongea hivyo unafikili anaweza kukushauli nini mara nyingi jiongeze pale unapoamua kufanya jambo flaniIla 1mill kwenye biashara kubwa kuliko wengine haitoshi ila kama ana Banda tayari na pia ana vyombo labda iyo 1m ni mtaji wa chakula tu yani Viazi mayai na nk..
Sent from my iPhone using JamiiForums
shkamoo ujenzi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1430][emoji1430][emoji1430][emoji1430]Mzee laki tano hapo inatumika pamoja na kulipa mafundi, mi nimejenga banda la kawaida tu bati tano, nguzo nne, na kuzungushia turubai imenitoka 500, hamna ujenzi mrahisi mzee nimeamini
mkuu unazidi kumkata maini tu na hio gharama ya freezer.Hela haitoshi kwa classic chips,zile chips zinahitaji kwa haraka haraka deepfryer,showcase ambayo inakuwa na warmer ama uwe na microwave, unahitaji deepfreezer, most chips joint huwa wanazifroze chips na kuhifadhi katika deepfreezer na mteja anapokuja frozen chips ndo huwekwa kwenye deepfryer, hii ni kutaka mteja ale chips quality ambazo hazijapoa na chips ambazo zinakuwa frozen zikiwa fryed zinakuwa na quality nzuri kama za macdonald, juu zinakuwa na crisp,sio hizi chips za mitaani ukiishika mkononi inajikunja kama uume ambao haujasimama. Chips ikishikwa mkononi inatakiwa kuwa wima,na na inakuwa na rangi fulani hivi golden.